Makapuku Forum

Makapuku Forum

Baba paroko kuwa siliasi mbona anadai mlikuwa na kikao baada ya misa
Teh teh teh ngoja aje tutamuuliza kama hajapata kigugumizi, ila banah mimi huwa nashauri kwenye kujenga ndoa kuwa imara yani mkitaka ndoa inoge na mapenzi yawe motomoto ni pale baba na mama kuongozana kuja kanisani pamoja siku zote za maisha yenu basi mapenzi hapo yanakuwa on fire
 
Teh teh teh ngoja aje tutamuuliza kama hajapata kigugumizi, ila banah mimi huwa nashauri kwenye kujenga ndoa kuwa imara yani mkitaka ndoa inoge na mapenzi yawe motomoto ni pale baba na mama kuongozana kuja kanisani pamoja siku zote za maisha yenu basi mapenzi hapo yanakuwa on fire
Jana nilikuwa na kihoma Baba paroko ...nisamehe na kihaya alikuja anadai kachokaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom