Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,670
- 50,987
Papaa lee, chief mwenyewe habari za muda, vipi upo poa wewe na shemeji yangu shuniePole yake
Papaa lee, chief mwenyewe habari za muda, vipi upo poa wewe na shemeji yangu shuniePole yake
Mkuu uko poa ??Huku kwetu kwema kabisa
Ahsante mkuu, mi mgeni kweli naomba kukaribishwa niwe miongoni mwa kapukuziNaona leo mkuu umetutembeleaa ...karibu
Jisikie uko nyumbani uku ndo penyewe chiefAhsante mkuu, mi mgeni kweli naomba kukaribishwa niwe miongoni mwa kapukuzi
Namshukuru mungu niko poa habari ya ujenzi wa taifa?Mkuu uko poa ??
KaribuAhsante mkuu, mi mgeni kweli naomba kukaribishwa niwe miongoni mwa kapukuzi
Ligi ya epl sio mchezo, ila nitazidi kumpatia sifa nyingi mourinho kuwa bado ni kocha bora pamoja na matokeo mabaya anayoyapata kipindi hichi, maana ndiyo kocha nimeona amazunguka ligi mbalimbali na akichukua trophies big up kwake sanakinacho mpa ugumu pep ni butua butua ya ligi ya uingereza, ukienda epl kwa lengo la kucheza mpira safi lazima uumie, angalia wenger na klopp wanavopata tabu nao
Baba paroko mtu asiyependa kuchanganya sadaka na matumis yasiyo na umuhimu kama kuonga ...Papaa lee, chief mwenyewe habari za muda, vipi upo poa wewe na shemeji yangu shunie
niko poaa shunie mzima kabisa Japo jana alichelewa kutoka parokian
Kiukweli nikiwa makenika kwenye hili Lori naendelea vyemaaaNamshukuru mungu niko poa habari ya ujenzi wa taifa?
Ni kwelii mkuuLigi ya epl sio mchezo, ila nitazidi kumpatia sifa nyingi mourinho kuwa bado ni kocha bora pamoja na matokeo mabaya anayoyapata kipindi hichi, maana ndiyo kocha nimeona amazunguka ligi mbalimbali na akichukua trophies big up kwake sana
Sawa mkuu ila usije kusahau bolt hata moja maana litatuua na wengne tusio jua nini kinaendeleaKiukweli nikiwa makenika kwenye hili Lori naendelea vyemaaa
Mkuu tunajitahid japo dreva anatoa 1 anaweka 5Sawa mkuu ila usije kusahau bolt hata moja maana litatuua na wengne tusio jua nini kinaendelea
Hahahahaha hapo kwenye rangi naomba aje atoe maelezo alipoenda, maana misa jana imeisha mapema na hata hakuja kunitembelea kupiga stori kama ilivyo siku zoteBaba paroko mtu asiyependa kuchanganya sadaka na matumis yasiyo na umuhimu kama kuonga ...![]()
![]()
niko poaa shunie mzima kabisa Japo jana alichelewa kutoka parokian
Dereva si ataua gia box mapema sanaMkuu tunajitahid japo dreva anatoa 1 anaweka 5
Baba paroko mtu asiyependa kuchanganya sadaka na matumis yasiyo na umuhimu kama kuonga ...![]()
![]()
niko poaa shunie mzima kabisa Japo jana alichelewa kutoka parokian
Baba paroko kuwa siliasi mbona anadai mlikuwa na kikao baada ya misaHahahahaha hapo kwenye rangi naomba aje atoe maelezo alipoenda, maana misa jana imeisha mapema na hata hakuja kunitembelea kupiga stori kama ilivyo siku zote

Tushabadilisha gear box mara 3 hatujui mwisho wakeDereva si ataua gia box mapema sana
Ebhuu paroko ..hujanioneaa huyuu valeeeHahahhh valentina nilimwambia atofautishe kati ya sadaka na pesa naamini alinielewa