Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pamoja sana mkuu

Ndo umejua

Nasikia bado ipo sijui ina miaka 100


6dd35a3694b0dbe42736eb46fbc692c5.jpg

Haka kaziwa labda kana futi 6 tu

.......
kaziwa kama kabwawa
 
Asante kwa picha kutoka katika mkono wako mwenyewe!
Hata za Ziwa Nyasa nilikuwaga azo ila zilipotea
Kule Ngonga(Diamond alifanyia Tamasha hapo mwaka jana) na Matema Beach kupo poa kwa utalii tatizo kubwa ni barabara mbovu tu mwezi wa February nilikuta wameanza kuweka lami kuanzia Matema Beach kupitia Ipinda hadi Kikusya(Jyela Mjini)
Ndo kero kubwa iliyisababisha Mwakyembe apigwe chini sababu ya danadana kila mwaka zen akaiba kura!!!!!
........
 
6/Lake Malawi
cdb30637b804ae07d530343c4dd431d5.jpg

Linazitenganisha Tanzania na Malawi huko Kyela Mbeya
Ukiwa upande wa Tanzania linaitwa Ziwa Nyasa halafu ukiwa Malawi linaitwa Ziwa Malawi
Ndio ziwa lenye samaki wa aina nyingi kuliko yote duniani...sasa usishangae kwanini linagombewa!!!
Nimebahatika kufika Ngonga na Matema Beach na kugundua lina mchanga wa punje kubwakubwa ambao unaunguza wakati wa juakali
Safu za Milima ya Livingstone zinaanzia/ishia huko
Lina kina cha mita 706

Umewahi kula usipa?
Wanapatikana huko...kwanini Wanyaki wasinenepe
........
Hivi ni ziwa hili ndio kuna jiwe la ajabu au nitakua nimechanganya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom