Makapuku Forum

1962 - Stuart Pearce anazaliwa.

Ni beki wa zamani wa England.

Mmoja kati ya mabeki wa shoka waliokuwa wanacheza kibabe enzi zake.

Aliwahi pia kuwa kocha wa Man city na Timu ya Taifa ya England chini ya miaka 21.
Siku hizi EPL kumejaa akina Merteseker na John Stones(Jiwe linalobonyea km mkate)
.....
 
[emoji120] [emoji109]
 
Amen Mama Mchu [emoji120]
 
Na wavuvi wa kambale kuna wakati huvua hata Nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…