Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

Those who fight corruption should be clean themselves

Watu wanaopambana na Rushwa wanapaswa kuwa wasafi
990451bfe4f5c65643e2884454e6b173.jpg

Hayo yalipata kutamkwa na Rais was wa sasa wa Russia Bw. Vladimir vladimirovich Putin aliezaliwa 7/10/1952 katika jiji la Sait Petersburg nchini Russia.

Kitaaluma Putin ni mwanasheria na alihitimu shahada ya sheria chuo kikuu cha Sait petersburg mwaka 1975.

Putin alikuwa ni afisa usalama wa Russia Komitet Gosudarstvennoj Bezopasnosti (KGB) kwa miaka 16 .

Amefanya kazi kama afisa usalama wa kimataifa, majukumu yake mengi yalikuwa ni ya kushughulika na nchi za kigeni..

Mwaka 1991 Putin alianza siasa Rasmi akiwa na cheo cha luteni Kanali wa KGB.

Putin amekuwa Waziri mkuu na Rais wa Russia kwa nyakati 2 tofauti kwa kila cheo..
f6c5243f35e54844cbce937177df85f9.jpg
eed1f5ea18707078864c4dd90bbdb1a0.jpg
02216a1eac9f0a92547b05dd1094c24b.jpg

Uongozi wake wa kwanza mwaka 2000-2008 ulikuza uchumi wa Urusi na kuongeza purchasing power kwa 72%


Putin anaamini Rushwa ni adui wa haki, ukipigana kuondoa Rushwa lazima uwe msafi kwanza.

Putin anafahamika kwa uongozi makini huku akitaka Urusi iwe taifa lenye nguvu zaidi duniani japo ukweli unabaki kuwa marekani ataendelea kuleta changamoto kwa urusi .

Hata Tanzania tukitaka kupambana na Rushwa, basi wale tunapambana nayo tuwe na mikono safi..


Gooodmorning.
 
NUKUU YA LEO

Those who fight corruption should be clean themselves

Watu wanaopambana na Rushwa wanapaswa kuwa wasafi
990451bfe4f5c65643e2884454e6b173.jpg

Hayo yalipata kutamkwa na Rais was wa sasa wa Russia Bw. Vladimir vladimirovich Putin aliezaliwa 7/10/1952 katika jiji la Sait Petersburg nchini Russia.

Kitaalauma Putin ni mwanasheria na alihitimu shahada ya sheria chuo kikuu cha Sait petersburg mwaka 1975.

Putin alikuwa ni afisa usalama wa Russia Komitet Gosudarstvennoj Bezopasnosti (KGB) kwa miaka 16 .

Amefanya kazi kama afisa usalama wa kimataifa, majukumu yake mengi yalikuwa ni ya kushuligha na nchi za kigeni..

Mwaka 1991 Putin alianza siasa Rasmi akiwa na cheo cha luteni Kanali wa KGB.

Putin amekuwa Waziri mkuu na Rais wa Russia kwa nyakati 2 tofauti kwa kila cheo..
f6c5243f35e54844cbce937177df85f9.jpg
eed1f5ea18707078864c4dd90bbdb1a0.jpg
02216a1eac9f0a92547b05dd1094c24b.jpg

Uongozi wake wa kwanza mwaka 2000-2008 ulikuza uchumi wa Urusi na kuongeza purchasing power kwa 72%


Putin anaamini Rushwa ni adui wa haki, ukipagana kuondoa Rushwa lazima uwe msafi kwanza.

Putin anafahamika kwa uongozi makini huku akitaka Urusi iwe taifa lenye nguvu zaidi duniani japo ukweli unabaki kuwa marekani ataendelea kuleta changamoto kwa urusi .

Hata Tanzania tukitaka kupambana na Rushwa, basi wale tunapambana nayo tuwe na mikono safi..


Gooodmorning.
Shukran kwa nukuu za asubuhi
 
KINYWA CHAKO KIJAZWE NINI ILI KUMTUKUZA MUNGU NAKUWATIA MOYO WENGINE

ZABURI 71:8

Kinywa changu kitajazwa sifa zako,Na heshima yako mchana kutwa.

Tunapoianza siku mpya na wiki mpya hebu vinywa vyetu vijazwe furaha,upendo,uponyaji tunene maneno ya kuinuana na kumsifu Mungu kila wakati.

Tuwe waponyaji ,wafariji,watia moyo tukitamani kuona kila mtu anafurahia uumbaji na anauishi upendo...

Haijalishi unapitia changamoto gani..mahali hapa pawe faraja na nafasi ya kujiona kuwa unayosababu ya kuendelea kuwepo na kufurahia baraka tele Mungu anazotujalia

Vinywa vyetu vijazwe sifa na heshima kwa Mungu Baba ili duniani pawe mahali pazuri pa kuishi na kuwasaidia wengine wajisikie vizuri.



Tunakushukuru Mungu kutufikisha umbali huu hakika wewe ni Ebenezer,

Umetutoa mbali na hujawahi kutuacha wakiwa.

Asante kwa siku ya leo na wiki inayoanza leo tembea pamoja nasi.

Tunaomba kibali chako katika kila jambo tutakalotenda,Tupe kauli njema,tupe Roho ya Upendo,na kunyenyekea mbele zako.

Tuweke mbali na kuonewa,magonjwa,chuki,mikosi,hila na ajali mbaya.

Tupe ujasiri Amani na Imani katika Kristo Yesu kupitia jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen


WIKI NJEMA
KAZI NJEMA
JUMATATU NJEMA
MBARIKIWE
 
Hilo katazo sijaliona na inaonekana watu wameanza kupangiwa cha kupost basi watabaki peke yao maana maisha ni pamoja na mapenzi

Mkuu kweli hii ni hatari kama watu wamesha anza kupangia watu cha kupost na hii itaanza kutufanya tujikute tunazungumzia siasa ambayo inaleta chuki kuliko mapenzi

Sizani kama ni kweli
Hakuna kitu km hicho
Iliongelewaga tu kwamba vipindi viongezwe(ilikumbishwa kwacambao wanaweza kubuni vitu) ili thread iongeze mvuto kwa kuwa na vitu vingi
Hatujafika huko
Hivyo sio kweli
Asubuhi njema

...
...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom