Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,928
Kumchukia huyo Shotii ni kujitafutia ugonjwa wa moyo.....hali kadhalika CR7simpendi huyu, hapa nishamtukana matusi yote, yanayoandikika na yanayotamkika
Kumchukia huyo Shotii ni kujitafutia ugonjwa wa moyo.....hali kadhalika CR7simpendi huyu, hapa nishamtukana matusi yote, yanayoandikika na yanayotamkika
Tusubiri muda utatupa jibu sahihiWanaharibu!!!
2004 - Marekani yaiondolea vikwazo Libya baada ya miaka 18 na kurudisha mahusiano yao upya.
Mkuu hawa watu wawili ni wakati wao nao acha wajidai kwa mtu kumchukia mmoja wao ni kujichelewesha mambo yakoKumchukia huyo Shotii ni kujitafutia ugonjwa wa moyo.....hali kadhalika CR7
Who's that.....kama namhisi mtu fulani
Wanaharibu!!!
Mkuu hayo mambo siyo kweliThis is not fair, ita7bisha uzi uwe doro!!!
Mkuu hayo mambo siyo kweli
Labda km kuna walioichoka thread tunaanza kulishana maneno ili tuvurugane
Potezea Papaa
.....

2005 - Kadinali Joseph Ratzinger anaapishwa kuwa Papa wa 265 na anachagua jina la Papa Benedicto wa 16.
1962 - Stuart Pearce anazaliwa.
Ni beki wa zamani wa England.
Mmoja kati ya mabeki wa shoka waliokuwa wanacheza kibabe enzi zake.
Aliwahi pia kuwa kocha wa Man city na Timu ya Taifa ya England chini ya miaka 21.
Mkuu mbona wengne hatuna hizo couple na tunapenda kuwepo maana kisicho ni husu huwa nakiacha kama kilivyoAache Udwanzi!!!.....atakuwa hana couple
Asante sana sana kwa historia mkuu Mussolin5 ubarikiwe siku na week njemaLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
1966 - Alessandro Costacurta anazaliwa.
Beki wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italia.
Moja kati ya mabeki bora wa kati wa kizazi chake.
Ameshinda ligi ya mabingwa ulaya mara 5 na serie A mara 7.
Mkuu hawa watu wawili ni wakati wao nao acha wajidai kwa mtu kumchukia mmoja wao ni kujichelewesha mambo yako
NUKUU YA LEO
Those who fight corruption should be clean themselves
Watu wanaopambana na Rushwa wanapaswa kuwa wasafi
![]()
Hayo yalipata kutamkwa na Rais was wa sasa wa Russia Bw. Vladimir vladimirovich Putin aliezaliwa 7/10/1952 katika jiji la Sait Petersburg nchini Russia.
Kitaaluma Putin ni mwanasheria na alihitimu shahada ya sheria chuo kikuu cha Sait petersburg mwaka 1975.
Putin alikuwa ni afisa usalama wa Russia Komitet Gosudarstvennoj Bezopasnosti (KGB) kwa miaka 16 .
Amefanya kazi kama afisa usalama wa kimataifa, majukumu yake mengi yalikuwa ni ya kushughulika na nchi za kigeni..
Mwaka 1991 Putin alianza siasa Rasmi akiwa na cheo cha luteni Kanali wa KGB.
Putin amekuwa Waziri mkuu na Rais wa Russia kwa nyakati 2 tofauti kwa kila cheo..
![]()
![]()
![]()
Uongozi wake wa kwanza mwaka 2000-2008 ulikuza uchumi wa Urusi na kuongeza purchasing power kwa 72%
Putin anaamini Rushwa ni adui wa haki, ukipigana kuondoa Rushwa lazima uwe msafi kwanza.
Putin anafahamika kwa uongozi makini huku akitaka Urusi iwe taifa lenye nguvu zaidi duniani japo ukweli unabaki kuwa marekani ataendelea kuleta changamoto kwa urusi .
Hata Tanzania tukitaka kupambana na Rushwa, basi wale tunapambana nayo tuwe na mikono safi..
Gooodmorning.

Amen Mama MchuKINYWA CHAKO KIJAZWE NINI ILI KUMTUKUZA MUNGU NAKUWATIA MOYO WENGINE
ZABURI 71:8
Kinywa changu kitajazwa sifa zako,Na heshima yako mchana kutwa.
Tunapoianza siku mpya na wiki mpya hebu vinywa vyetu vijazwe furaha,upendo,uponyaji tunene maneno ya kuinuana na kumsifu Mungu kila wakati.
Tuwe waponyaji ,wafariji,watia moyo tukitamani kuona kila mtu anafurahia uumbaji na anauishi upendo...
Haijalishi unapitia changamoto gani..mahali hapa pawe faraja na nafasi ya kujiona kuwa unayosababu ya kuendelea kuwepo na kufurahia baraka tele Mungu anazotujalia
Vinywa vyetu vijazwe sifa na heshima kwa Mungu Baba ili duniani pawe mahali pazuri pa kuishi na kuwasaidia wengine wajisikie vizuri.
Tunakushukuru Mungu kutufikisha umbali huu hakika wewe ni Ebenezer,
Umetutoa mbali na hujawahi kutuacha wakiwa.
Asante kwa siku ya leo na wiki inayoanza leo tembea pamoja nasi.
Tunaomba kibali chako katika kila jambo tutakalotenda,Tupe kauli njema,tupe Roho ya Upendo,na kunyenyekea mbele zako.
Tuweke mbali na kuonewa,magonjwa,chuki,mikosi,hila na ajali mbaya.
Tupe ujasiri Amani na Imani katika Kristo Yesu kupitia jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
WIKI NJEMA
KAZI NJEMA
JUMATATU NJEMA
MBARIKIWE

Na wavuvi wa kambale kuna wakati huvua hata NyokaKila kitu kina umuhimu
Mfano mabaki ya chakula hutumika kulishia mifugo ndo ilovyo pia kwenye ishu zetu
Ingekuwa stori za mapenzi haziruhusiwi thread isingeweza kufika ilipofika
Thread hii haichoshi sababu ina vitu mchanganyiko tofauti na thread zingine
Pia hata waokota makopo mitaani wana umuhimu maana husaidia kusafisha mazingira
.........