Makapuku Forum

Asante mtumishi
 
1980 - Askari 8 wa Marekani wafariki wakati walipokuwa wanaenda kwenye Operation Eagle Claw ya kuokoa mateka waliokuwa wanashikiriwa huko Iran baada ya ndege yao kudondoka huko jangwani.

Katika Operesheni hiyo, wamarekani walipoteza vibaya operesheni hiyo na kusababisha Rais Jimmy Carter kubwagwa chini kwenye Uchaguzi Mkuu uliofata.
 

Wamarekani wanapenda vita
...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…