Makapuku Forum

Makapuku Forum

well, si sana kivile japo SHIMBA YA BUYENZE kabobea kwenye siasa sana wakati mwingine namimi nishajitoa huko
Mimi sijabobea kwenye siasa kivile. Huwa naenda huko mara moja moja kuchokoza watu na wakianza kutoa mapovu natimka kabla sijatandikwa ban. Huku Makapuku ni raha mstarehe tu na kushuhudia watu wakitongozana na kunyegeshana laivu...
 
Tone zenu za uandishi zinafanana
Mimi simfikii Obe. Huyu ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja akiamua. Sema tu JF ya sasa ni ya hovyo hovyo tu siyo enzi zile za akina Mzee MM, Kiranga na great thinkers wengine ambao sasa wamepotea. Sasa hata utoe hoja nzuri namna gani nobody cares sana sana ndo utaishia kuitwa nyumbu au fisiemu.

Mimi situmii akaunti nyingine hapa JF japo nilipolimwa ban nilishawishika kufungua akaunti nyingine ila nilipofikiria usumbufu wa ku-establish personality mpya nikasema aisee JF siyo mama wala baba yangu. Akaunti mpya Shunie atanijua lini kuwa mimi ni Msukuma Mshamba kutoka Koromije?
3500188ab77384395c1602a5da9d1fa5.jpg
 
Mungu Baba Mwenyezi ,asante kwa siku njema ya leo tunajikabidhi mikononi mwako usiku wa leo utuondoe katika hatari za mwili na za roho,ponya wagonjwa,fariji wafiwa,watie moyo wajane,wagane na wapweke,walinde wasafiri majini,nchi kavu na angani Baba tunakuomba tusamehe yote tuliyokosa kwa mawazo,maneno na matendo uturehemu twakusihi na utuamshe tukiwa na nia njema ya kukutumikia.

Malaika walinzi waweke kituo kwa kila mmoja wetu Damu takatifu itufunike tunaomba yote kwa jina la Yesu Kristo Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen

Mithali 18

10. Jina la BWANA ni ngome imara; mwenye haki huikimbilia, akawa salama.

MUWE NA USIKU MWEMA,NJOZI NJEMA,MLALE SALAMA.
 
I returned, and saw under the sun, that the race is not to the swift, nor the mighty ones the battle, nor do the wise also have the food, nor riches to men of understanding, nor yet favor to men of skill; but time and chance happen to them all.
For man also knoweth not his time; as fish that are taken in an evil net, and as the birds that are caught in the snare, so men snared in an evil time, when it befall quickly. Wisdom is better than foolishness
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom