Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tunakushukuru Mwenyezi Mungu Baba wa rehema asante kutuamsha salama,tunajikabidhi mikononi mwako tuongoze tutende mema na kukutii asante kwa ajili ya familia na Makapuku wote,tulinde tuongoze tuepushe na hatari zote za mwili na roho bariki kazi za mikono yetu walinde wasafiri,wajane,yatima,waponye wagonjwa wafariji wafiwa na wote wanaopitia changamoto wape wepesi na kushinda bariki marafiki na maadui tupe mshikamano asante kwa ni utatenda sawa na mapenzi yako katika jina la Yesu Amen

USHIRIKIANO

HERI WAWILI KULIKO MMOJA

MHUBIRI 4

9.Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja ;maana wapata ijara njema kwa kazi yao.

10.Kwa maana wakianguka ,mmoja wao atamuinua mwenzake;lakini ole wake aliye peke yake aangukapo wala hana mngine wa kumuinua

Tunahitaji watu wa kutimiza ndoto zetu.

Kama tunahitaji mtu /watu basi tumuombe Mungu sana atukutanishe na:
Mtu /watu sahihi
Mahali sahihi
Wakati sahihi
Kwa utukufu wa jina lake na kwa mafanikio yetu wote.
Watu wote ni muhimu kwetu kwa nyakati tofauti,shetani huwa anatuangusha tusikutane na watu sahihi wakati sahihi.

Heshimu watu,wasiliana na watu,wapende watu,watendee mema ndugu,jamaa,rafiki,jirani,wageni,adui na wote wanaotuzunguka.

MUNGU ATUSAIDIE

MBARIKIWE SANA

SIKU NJEMA KWENU
 
Wakuu kumekuchaa salama ....magazeti ya Leo



132e25c0f1b39351f94e1983867e830c.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom