Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mungu Baba Mwenyezi ,asante kwa siku njema ya leo tunajikabidhi mikononi mwako usiku wa leo utuondoe katika hatari za mwili na za roho,ponya wagonjwa,fariji wafiwa,watie moyo wajane,wagane na wapweke,walinde wasafiri majini,nchi kavu na angani Baba tunakuomba tusamehe yote tuliyokosa kwa mawazo,maneno na matendo uturehemu twakusihi na utuamshe tukiwa na nia njema ya kukutumikia.

Malaika walinzi waweke kituo kwa kila mmoja wetu Damu takatifu itufunike tunaomba yote kwa jina la Yesu Kristo Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen

Mithali 18

10. Jina la BWANA ni ngome imara; mwenye haki huikimbilia, akawa salama.

MUWE NA USIKU MWEMA,NJOZI NJEMA,MLALE SALAMA.
Amen mama mchungaji kwa sala
 
I returned, and saw under the sun, that the race is not to the swift, nor the mighty ones the battle, nor do the wise also have the food, nor riches to men of understanding, nor yet favor to men of skill; but time and chance happen to them all.
For man also knoweth not his time; as fish that are taken in an evil net, and as the birds that are caught in the snare, so men snared in an evil time, when it befall quickly. Wisdom is better than foolishness


Hii umeitoa katika kitabu cha 'Mhubiri' Ecclesiates 9:11
 
Mungu Baba Mwenyezi ,asante kwa siku njema ya leo tunajikabidhi mikononi mwako usiku wa leo utuondoe katika hatari za mwili na za roho,ponya wagonjwa,fariji wafiwa,watie moyo wajane,wagane na wapweke,walinde wasafiri majini,nchi kavu na angani Baba tunakuomba tusamehe yote tuliyokosa kwa mawazo,maneno na matendo uturehemu twakusihi na utuamshe tukiwa na nia njema ya kukutumikia.

Malaika walinzi waweke kituo kwa kila mmoja wetu Damu takatifu itufunike tunaomba yote kwa jina la Yesu Kristo Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen

Mithali 18

10. Jina la BWANA ni ngome imara; mwenye haki huikimbilia, akawa salama.

MUWE NA USIKU MWEMA,NJOZI NJEMA,MLALE SALAMA.

Asante BlessedHope
 
Matokeo ya mechi zilizochezwa tarehe 21/4/2017
Belgium uefa playoff
53bd10a21465306215211ff663b68480.jpg

France league 1
c182a77a9ca1fbca9c1858036f0ac435.jpg
 
Khaaaa namani usiku mwema mlale muote mizizi na matawi..

Maombi ya ulinzi wa Mungu ni muhimu sana...
Nawakubali sana Kaka zangu nyote...
Na warembo wa humu wote..

Valentina tunafungua ukurasa wetu mpya
Nakupenda..
Huyu Valentina umehamia naye huku Makapuku au umemkuta huku huku? Kama umemkuta huku basi we mkali kwani kuna watu kama Shedede wamehangaika kutafuta mabibi huku mpaka wameishia kuwa walinzi wa wake za watu. I salute you mkuu!
 
sawa sawa mjomba, komaa nalo, mimi yule mdada mjeshi kanipangia kulinda kipusi/paka chake, kina kelele hicho yaani silali
Nakomaaa bhinamu make nikizubaa ata auntie yako namkosa utamsikia eti anataka chib pafyumu ...mara nywele za Brazil

Ila kuna aka kaafande karembo jana nilipangiwa nako kachokozi kwelii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom