Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
kwema mkuuMkuu poa sana habari za muda
kwema mkuuMkuu poa sana habari za muda
Ndiyo nataka waniteke watakutana na kareti za kumfa mtuwatakuteka mkuu!

Mkuu bado hujaondoka,?mkuu hebu nipe info kidogo nataka kwenda huko nishakata tiketi tayari!
Pitia Malaysia, itakuwa rahisi kwakoUS 🙁 🙁
mkuu maneno unayatupa hayoNdiyo nataka waniteke watakutana na kareti za kumfa mtu![]()
![]()
![]()
Fanya na booking yangu kabisa mkuukwema mkuu
bado mkuuMkuu bado hujaondoka,?

Aisee wako wengi5/Brazil
Hii nchi kila mtu anajua mpira. Si mnamkumbuka JAJA.....Nchi hii imejaa wana wake warembo na fukwe za kupendeza![]()
Idadi kubwa ya watu ni wacha Mungu(wakatoliki) ndio maana wanetenfeneza kabisa sanamu la Yesu km mnara wao
Wapo 211,200,000[Milioni mia mbili kumi na moja na laki mbili)....
.....
nishakata tiketi mkuuPitia Malaysia, itakuwa rahisi kwako
Roma kasema wapeleke difenda kabebwa na Noah![]()
![]()
acha uoga
unataka kwenda kwa toto tundu au?Fanya na booking yangu kabisa mkuu
Sijui kama utatoboa kupitia USAnishakata tiketi mkuu
hahahaSijui kama utatoboa kupitia USA
Nampenda..Teh teh teh vale mkuu?? , mkuu bado unataka kufilisika?
Aisee wako wengi

