Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ka nzi???? Hahahahahaha umenichekesha sanaa, basi kabadili id hii unayotumia kutongozea kila ke aliyopo mbele yako nimekukataa nayo
Hahahahaa jimena wangu soma mchezo, kumbuka asubuhi ulisema tusikumbuke yalio pita so hii ni tamthilia mpya, niliyemtongoza jana nimsahau huu ni mchezo mpya mamii, soma script elewa script mkuu nikubalieeee
 
877c4f9eaea810255cc323f64fb3ca7f.jpg

usafiri wa makapuku unakarbia kuanza kufanya kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom