Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tangazo! Tangazo!
KWA MAKAPUKU WOTE​

Kamati ya kuhamasisha ndoa Tanzania (KAKUNDOTA) inamtaarifu kila Kapuku aliye na mke mmoja kufanya haraka iwezekanavyo aongeza mke wa pili,lengo ni kupunguza idadi ya wasichana na wajane waliojaa majumbani na mitaani! Kauli mbiu ya mwaka huu ''Ongeza Mke,Okoa Wanawake,Okoa Jamii ya Kike'' Aidha pia mwanamke aliye tayari kwenye ndoa ambaye atakataa kuongezewa mwenza apewe talaka mara moja ili awe singo aone wenzake wanavyopata adha mtaani! Hii inawahusu pia wale wasio na wake kabisa!
Kumbeeee!!ndo maana baba mtumishi anamnyemelea Jimena ,kumbe ndo inside ze ajenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom