Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

Smile in the mirror, do that every morning and you will start to see a big difference in your life

Tabasamu kwenye kioo, fanya hivi kila asubuhi na utaanza kuona tofauti kubwa maishani mwako
63545e3546993a0c17a493d20c047f08.jpg


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwanamziki,mwanamashairi, msaani na mwanaharakati wa kijapani Bi. Yono Oko aliezaliwa tar. Feb 18 1933
dfba5dd17b5a502a1d6f4c3a6023a588.jpg

a66640ed0af0fb3aa034b98d071f8e01.jpg

Yoko anafanga kazi nyingi za kisanii na kijamii, mojawapo ni ile harakati ya amani duniani "Bed in for peace" akiwa fungate na mmewe bw. John Lennon na "War is over" mwaka 1969.

Hili la kutabasamu kwenye kioo linaonekana kama jambo la kijinga na kituko ila ni ukijiangalia kwenye kioo lazima ujicheke.

Lakini kucheka kuna faida nyingi kama kupunguza msongo wa mawazo,pukunguza mkandamizo wa damu n.k

Binafsi mimi huwa nacheka kila siku asubuhi...

Its real, try it..

Transcend.
Ngoja nikaoge nipake poda nije nicheke kwenye kioo
 
Baada ya jana kuona timu za mji mmoja zikifuvu hatua ya nusu fainali leo pia kuna wengine wataungana nao.
Tupate ratiba kamili
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
cfc80b97712109e7bf22107ffd301b83.jpg
d2038ca0856b6ee857ac357ab.jpg[/IMG]
Kenya premier League
a791d92bf63a4f77b9e1b5d93ccda6fe.jpg

Uganda Premier League
Asantee mkuu ila ukweli Walioichezea Leicester city Leo na walioishuhudia Leicester city Leo watakuja kuadisia wajukuu na watoto wao kesho...... Inawezekana Atletico Madrid ndio timu nzuri kabisa na sahihi kwa Leicester na historia yao katika michuano hii na katika hatua hii.... Matokeo fair kabisa maana kwa Leicester city na historia yao hawajabebeshwa kapu... Ila ni matokeo ya kawaida sana kwa timu yenye kaliba ya Atletico Madrid. 1-1 hapa king power stadium na 1-0 kule Vicente Calderon ni matokeo ya kuadisia kwa Leicester city ya kesho.

Nendeni sasa nadhani hapo mtakuwa mmeshaonja utamu wa EPL na raha ya UCL....... Najua vita ya top four nyinyi hamuiwezi pambaneni muwe angalau mnacheza Europa league maana jezi zenu ni nguo za kushindia huku kwetu.

Leicester city 1-1 Atletico Madrid (aggr 1-2).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom