BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Karibu sana home is where happiness lives,we are happy hereMakapuku is the place to be
we thank GodKaribu sana home is where happiness lives,we are happy hereMakapuku is the place to be
we thank GodNgoja nikaoge nipake poda nije nicheke kwenye kiooNUKUU YA LEO
Smile in the mirror, do that every morning and you will start to see a big difference in your life
Tabasamu kwenye kioo, fanya hivi kila asubuhi na utaanza kuona tofauti kubwa maishani mwako
![]()
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwanamziki,mwanamashairi, msaani na mwanaharakati wa kijapani Bi. Yono Oko aliezaliwa tar. Feb 18 1933
![]()
![]()
Yoko anafanga kazi nyingi za kisanii na kijamii, mojawapo ni ile harakati ya amani duniani "Bed in for peace" akiwa fungate na mmewe bw. John Lennon na "War is over" mwaka 1969.
Hili la kutabasamu kwenye kioo linaonekana kama jambo la kijinga na kituko ila ni ukijiangalia kwenye kioo lazima ujicheke.
Lakini kucheka kuna faida nyingi kama kupunguza msongo wa mawazo,pukunguza mkandamizo wa damu n.k
Binafsi mimi huwa nacheka kila siku asubuhi...
Its real, try it..
Transcend.
Nawe pia mkuu siku njemaWakuu..
Nawatakia kazi njema..
Karibu...Makapuku is the place to be
Ngoja nikaoge nipake poda nije nicheke kwenye kioo
Shemeji T wole wako dada angu uje mtenda, you will understand the power of my prayers in Jesus nameNawe pia hubby
Am out of here for a few hours!!!
Nakupenda T wangu..
Shemeji T WOLE WAKO my sisy utakuja muumiza from there you will understand how powerful my prayers are
Mama mchungaji, habari za kweko, utukufu wa Mungu ukufunike na uanze siku yako vizuriAmen nawe pia ubarikiwe
Goodmorning Vitor wa Happy ubarikiwe jeshi la mtu mmoja
Amen asante ubarikiwe sanaMama mchungaji, habari za kweko, utukufu wa Mungu ukufunike na uanze siku yako vizuri
In Jesus name sema amina, mambo ya wapendanao hakuna upupu utakao ingilia kati yenu in jesus name, let love leadNajua venye wanipenda hubie...
T nawaza why Mungu hakukuleta soon lakini najua yote ni mipango yake...
Ni bahati ya pekee kumpata mwanaume kama wewe!!!
Hubby nakupenda jamani
Wewe pia ave anice day, tafuta mkate wa kila siku wa familia yako na SakayoWakuu..
Nawatakia kazi njema..
Lee empire umeamkaje shemeji, i hope mpo salama wewe na shunie, salimia familia
Ubarikiwe sana sana,Amen asante ubarikiwe sana
hahahahaha upendezeNgoja nikaoge nipake poda nije nicheke kwenye kioo
Asantee mkuu ila ukweli Walioichezea Leicester city Leo na walioishuhudia Leicester city Leo watakuja kuadisia wajukuu na watoto wao kesho...... Inawezekana Atletico Madrid ndio timu nzuri kabisa na sahihi kwa Leicester na historia yao katika michuano hii na katika hatua hii.... Matokeo fair kabisa maana kwa Leicester city na historia yao hawajabebeshwa kapu... Ila ni matokeo ya kawaida sana kwa timu yenye kaliba ya Atletico Madrid. 1-1 hapa king power stadium na 1-0 kule Vicente Calderon ni matokeo ya kuadisia kwa Leicester city ya kesho.Baada ya jana kuona timu za mji mmoja zikifuvu hatua ya nusu fainali leo pia kuna wengine wataungana nao.
Tupate ratiba kamili
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
d2038ca0856b6ee857ac357ab.jpg[/IMG]![]()
Kenya premier League
![]()
Uganda Premier League
Baba parokooShemeji T wole wako dada angu uje mtenda, you will understand the power of my prayers in Jesus name
Baba paroko tuko salama kabisaaLee empire umeamkaje shemeji, i hope mpo salama wewe na shunie, salimia familia