Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,605
[emoji3] [emoji3]Ngoja nikaoge nipake poda nije nicheke kwenye kioo
[emoji3] [emoji3]Ngoja nikaoge nipake poda nije nicheke kwenye kioo
Kweko => kwakoMama mchungaji, habari za kweko, utukufu wa Mungu ukufunike na uanze siku yako vizuri
[emoji122]Leo Katika Historia:
1948 - Burma yajiunga Umoja wa Mataifa.
2005 - Kadinali Joseph Ratzinger anachaguliwa kuwa Papa Benedicto wa 16.
Uwajibikaji1960 - Wanafunzi wanaandamana nchini Korea Kusini dhidi ya Rais wa Nchi hiyo Syngman Rhee wakidai demokrasia ipewe nafasi.
Rais huyo anakuja kujiuzulu baadae.
[emoji120]2005 - Kadinali Joseph Ratzinger anachaguliwa kuwa Papa Benedicto wa 16.
Asante kiongoziiLeo Katika Historia:
Sina la ziada muwe na Jumatano njema.
Happy birthday to him1987 - Joe Hart anazaliwa.
Kipa wa Man city aliyepo kwa mkopo katika timu ya Torino ambaye pia ni kipa namba moja wa timu ya taifa ya England.
Happy birthday to her1987 - Maria Sharapova anazaliwa.
Mcheza Tennis hodari kutoka Russia ambaye ameshinda mataji kadhaa ya grandslam.
Aisee- Leo ni Birthday ya Mfalme Mswati wa III wa Swaziland.
Hivyo ni siku ya Mapumziko nchini humo.
Ahsante mkuu Mussolin5 kwa historiaLeo Katika Historia:
Sina la ziada muwe na Jumatano njema.
Kuwa tu rasta man![]()
![]()
![]()
Sitaenda kanisani mpaka siku achaguliwe Papa mweusi
Kweli dini zimeletwa na meli ili kueneza tamaduni zao + kututawala
.....
2011 - Fidel Castro anajiuzulu wadhifa wake wa Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha Cuba baada ya kushikilia wadhifa huo toka mwaka 1961.
Kwakweli..hahahahaha upendeze
AmenKESHO YANGU NI NZURI
YEREMIA 29:11
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema BWANA,ni mawazo ya AMANI wala si mabaya ,kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
[emoji117] Tukimtegemea Bwana katika Roho na kweli hakika kesho zetu zitakuwa zenye thamani sana mbele zake.
[emoji117] Usichoke ndugu Ebu kaza mwendo ,upate kufika mbinguni
[emoji117] Mungu wetu ni wa kila kitu.
Mungu atusaidie sana Tumpende ,Tumheshimu,Tumtegemee maana daima anatuwazia mema...mbarikiwe sana.[emoji120]
Lóooooking so mucuuuteeeWoyoo