Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Kweko => kwakoMama mchungaji, habari za kweko, utukufu wa Mungu ukufunike na uanze siku yako vizuri
Leo Katika Historia:
1948 - Burma yajiunga Umoja wa Mataifa.

2005 - Kadinali Joseph Ratzinger anachaguliwa kuwa Papa Benedicto wa 16.
Uwajibikaji1960 - Wanafunzi wanaandamana nchini Korea Kusini dhidi ya Rais wa Nchi hiyo Syngman Rhee wakidai demokrasia ipewe nafasi.
Rais huyo anakuja kujiuzulu baadae.
2005 - Kadinali Joseph Ratzinger anachaguliwa kuwa Papa Benedicto wa 16.

Asante kiongoziiLeo Katika Historia:
Sina la ziada muwe na Jumatano njema.
Happy birthday to him1987 - Joe Hart anazaliwa.
Kipa wa Man city aliyepo kwa mkopo katika timu ya Torino ambaye pia ni kipa namba moja wa timu ya taifa ya England.
Happy birthday to her1987 - Maria Sharapova anazaliwa.
Mcheza Tennis hodari kutoka Russia ambaye ameshinda mataji kadhaa ya grandslam.
Aisee- Leo ni Birthday ya Mfalme Mswati wa III wa Swaziland.
Hivyo ni siku ya Mapumziko nchini humo.
Ahsante mkuu Mussolin5 kwa historiaLeo Katika Historia:
Sina la ziada muwe na Jumatano njema.
Kuwa tu rasta man![]()
![]()
![]()
Sitaenda kanisani mpaka siku achaguliwe Papa mweusi
Kweli dini zimeletwa na meli ili kueneza tamaduni zao + kututawala
.....
2011 - Fidel Castro anajiuzulu wadhifa wake wa Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha Cuba baada ya kushikilia wadhifa huo toka mwaka 1961.
Kwakweli..hahahahaha upendeze
AmenKESHO YANGU NI NZURI
YEREMIA 29:11
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema BWANA,ni mawazo ya AMANI wala si mabaya ,kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
Tukimtegemea Bwana katika Roho na kweli hakika kesho zetu zitakuwa zenye thamani sana mbele zake.
Usichoke ndugu Ebu kaza mwendo ,upate kufika mbinguni
Mungu wetu ni wa kila kitu.
Mungu atusaidie sana Tumpende ,Tumheshimu,Tumtegemee maana daima anatuwazia mema...mbarikiwe sana.![]()
Lóooooking so mucuuuteeeWoyoo