Makapuku Forum

Makapuku Forum

2005 - Kadinali Joseph Ratzinger anachaguliwa kuwa Papa Benedicto wa 16.
eb7f9115b718e9d11c87ea06fd37c5a0.jpg
8333c60028ba292e3fe6744700646517.jpg
44dc41ebfe07993551ee6f7d2beb31e3.jpg

Sitaenda kanisani mpaka siku achaguliwe Papa mweusi
Kweli dini zimeletwa na meli ili kueneza tamaduni zao + kututawala
.....
 
KESHO YANGU NI NZURI

YEREMIA 29:11

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema BWANA,ni mawazo ya AMANI wala si mabaya ,kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

Tukimtegemea Bwana katika Roho na kweli hakika kesho zetu zitakuwa zenye thamani sana mbele zake.
Usichoke ndugu Ebu kaza mwendo ,upate kufika mbinguni

Mungu wetu ni wa kila kitu.

Mungu atusaidie sana Tumpende ,Tumheshimu,Tumtegemee maana daima anatuwazia mema...mbarikiwe sana.
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom