STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
Naona empty tu, nakwenda kuchukua miwani yangu labda nnaweza kuyaona maandishiUnaenda wapi labda
Naona empty tu, nakwenda kuchukua miwani yangu labda nnaweza kuyaona maandishiUnaenda wapi labda
Pamoja mkuuNawe pia mkuu
Dah ni hatar sana ,Waafrika sometimes yaani tupo kama wanyama. Huyu mama wanamchoma moto laivu kisa eti mchawi.![]()
Is there anyone bothering you?Kwa herini
Sijazoea kuona watu wenye nyuso za mbuzi
Tutaonana Mungu akipenda
Karibu jovithaLeo nimekuja kuwasalimia.......![]()
![]()
Asanteee!Mume wangu kipenzi
Roho ya Sakayo
Sweet wa nafsi yangu
Barafu wa moyo wangu
Nyongo mkalia ini la Sakayo
Mwanaume wa ndoto zangu jamani, ni muda wa chai sasa nimekuandalia mtori hunie hali ya hewa si unaiona lakini..... Karibu chai...
Wana familia Karibuni chai.....
au utacheza singeli hainaga ushemeji tehLazima niicheze
yamekua kama ya husna na DabyNdukiiiiii
Niko ubavuni kwako sweeryAsanteee!
Ndio natoka kwenda lunch now..though its late..
Let's go mama!
hatujambo naona play gal ameshakufa mpk leo tuweke matanganimeona nije kuwasalimia maramoja, Hamjambo?
anae Mr wake![]()
![]()
![]()
umekua mpole sana, wachungaji pia tunaruhusiwa kuoa, toa shaka nakuaanda kuwa mama mchungaji
hivi we si baba paroko mambo ya kuloa yanakujaje hapaLove is adestruction beast, naona ulivyo lowa
zawadi hakuna huku
Kwa uzuri upi mpaka uje useme hadharani baba paroko jamaniYani leo umenikana infront of public, kumbe kwaresima inaendelea
Nakula machalare leo ...Niko ubavuni kwako sweery
Leo zamu yako kunilisha
Hebu pooza na vijimaji kwanza, kuna maziwa alokupa mkuu Nyagei umeyaona lakiniSasa akupoteze kwa mrengo gani?
Mimi sitaki maziwa meengi, nataka vijiziwa kidogo tu nipoze koo
OoohNaona empty tu, nakwenda kuchukua miwani yangu labda nnaweza kuyaona maandishi
Unaona sasa unanikimbia mimi mjasriamali unakimbizwa na maparoko sasa.... Stop running away Shunie.hivi we si baba paroko mambo ya kuloa yanakujaje hapa