Makapuku Forum

Makapuku Forum

a0f9976600a1ffab67cfb5539ff5f09b.jpg

"We Spika acha ufala" ktk ubora wake

.....
Gangster in parliamentary,
 
NUKUU YA LEO

If you love life, don't waste time for time is what life is made up of

Kama unapenda maisha, usipoteze muda , muda ndio unaofanya kuwepo na maisha
be674a522c06537c4ca8c415d42b0be6.jpg

Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwigizaji/mtengeneza filamu na mcheza judo wa kichina Lee Jun-Fan alimaarufu kama Bruce Lee.

Bruce Lee alizaliwa 27/11/1940 Huko Franscisco Marekani na kufariki 20/07/1973 huko Kowloon Tong, Hong kong.

Bruce Lee anakumbukwa kwa kazi nzuri kama Fist of Fury, Way of the Dragon na The big Boss.

Kifo cha bruce kinaacha utata mkubwa japo madaktari wa hospital ya Queen Elizabeth wanadai alifariki kwa allergy ya painkillers za meprobamate.
be5bbcfb926bfaee16032fe279874035.jpg

825cfee7923271bad38aef8f415e4248.jpg

Time is life, life is time..!

Mchana mwema wakuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom