Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Bitoz naomba matokeo ya simba kama mpira umeisha mara ya mwisho kuangalia ilikua half time walikua hawajafunganaf
.......
ila si haba lkn mana hao toto wakikamia wanatufungaga
Bitoz naomba matokeo ya simba kama mpira umeisha mara ya mwisho kuangalia ilikua half time walikua hawajafunganaf
ila si haba lkn mana hao toto wakikamia wanatufungaga
Toto wanatufungaga kwa hiyo kupata sare nashukuru sana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Si mtarudiana mezani na kushinda? Maana hata Kagera anawapaga vipigo tu lkn safari hii mmeshinda mezaniToto wanatufungaga kwa hiyo kupata sare nashukuru sana
Walitoka morogoro kufanya uchunguzi mauwaji ya askari wa wanyama pori na wananchi kuchukua mkaa ,,,,kilicho wakuta ni hichoWa3 ni mayanki wadogo sana asee
Kanuni ndizo zilizoongeaSi mtarudiana mezani na kushinda? Maana hata Kagera anawapaga vipigo tu lkn safari hii mmeshinda mezani
....
sanaaa ata mm nimefurahia hii sareToto wanatufungaga kwa hiyo kupata sare nashukuru sana
utani wa ngumi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......

hahahahhhaSi mtarudiana mezani na kushinda? Maana hata Kagera anawapaga vipigo tu lkn safari hii mmeshinda mezani
....
Tupunguze ushabiki hakuna mwenye uhakika kwamba jamaa alikuwa na yellow 3Kanuni ndizo zilizoongea
Alafu kingine ni madogo kwa hiyo tuna wadekeza tusanaaa ata mm nimefurahia hii sare
Masaa 72 wametafuta vielelezo vimepatikanaTupunguze ushabiki hakuna mwenye uhakika kwamba jamaa alikuwa na yellow 3
......
Kwahiyo Kagera hawana akili kukata rufaa km vielelezo vipo waziMasaa 72 wametafuta vielelezo vimepatikana
Kujitetea tu wanatafutaKwahiyo Kagera hawana akili kukata rufaa km vielelezo vipo wazi
Bongo bhana
Wote tumehadithiwa tu
![]()
![]()
![]()
......