Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mi nimewahi kulazwa siku 10 nilikuwa na Malaria 20+ aisee siku 1 wodini niliiona ndefu km wiki kitaa
Mara mgonjwa huyu afe, usiku ndoto mbaya za kufa MTU, yaani stress na mawazo ya kufakufa tu haswa km nafuu hupati

Ukweli kuugua sio kufa ila chamoto utakiona maana hakuna asiyejua ugonjwa ni chanzo cha vifo
....
Pole mkuu mawodini kuna mengi,Mungu yupo100%,nguvu za giza pia zinajitokeza unapoumwa unapswa kusimama katika imani kwamba Mungu yupo na anakuponya,unapoona maluweluwe kemea na kumkumbusha Mungu juu ya imani yako kwake na hauko tayari kumuacha..pole sana sana kwa ulilopitia.

.nilikua na mgonjwa juzi niliiona dunia chungu,namhudumia huku watu wanakata roho,alikua amefaint siku nzima,kuzinduka anaona dead body pembeni,akazimia tena masaa matano jamani,ukitaka kujua vifo vipo nenda hospitali kunatisha,kunakatisha tamaa..tumuombe Mungu sana sana atupe vifo vyema.
 
Pole mkuu mawodini kuna mengi,Mungu yupo100%,nguvu za giza pia zinajitokeza unapoumwa unapswa kusimama katika imani kwamba Mungu yupo na anakuponya,unapoona maluweluwe kemea na kumkumbusha Mungu juu ya imani yako kwake na hauko tayari kumuacha..pole sana sana kwa ulilopitia.

.nilikua na mgonjwa juzi niliiona dunia chungu,namhudumia huku watu wanakata roho,alikua amefaint siku nzima,kuzinduka anaona dead body pembeni,akazimia tena masaa matano jamani,ukitaka kujua vifo vipo nenda hospitali kunatisha,kunakatisha tamaa..tumuombe Mungu sana sana atupe vifo vyema.
inaogopesha sana sana
 
eaf02d53d03c3355ae8fd5e1cf3a2b28.jpg
 
Kifo cha ghafla ndo kizuri kwa marehemu maana haupati msoto sana....Mimi ndo chaguo langu km ingekuwa tunachagua

Kifo cha kuumwa ni kibaya kwa marehemu nafikiri km umewahi kulazwa unafahamu jinsi mtu unavyootaota ndoto za ajabu na stress za kufa mtu pia watu kuuguza wanakuchoka maanaunawapotezea fedha na muda japo hawawezi sema na hata ukifa moyoni huwa wanafurahi umewapunguzia mzigo mgonjwa gani hata nafuu hupati

......
Suala la kuuguza ndugu linahitaji moyo sana wa kujitolea

Nakumbuka nililala sana pale MNH almost miezi miwili kwa kuuguza honestly unachoka ila unapata nguvu ndugu wakija kukutembeleeni.
 
Pole mkuu mawodini kuna mengi,Mungu yupo100%,nguvu za giza pia zinajitokeza unapoumwa unapswa kusimama katika imani kwamba Mungu yupo na anakuponya,unapoona maluweluwe kemea na kumkumbusha Mungu juu ya imani yako kwake na hauko tayari kumuacha..pole sana sana kwa ulilopitia.

.nilikua na mgonjwa juzi niliiona dunia chungu,namhudumia huku watu wanakata roho,alikua amefaint siku nzima,kuzinduka anaona dead body pembeni,akazimia tena masaa matano jamani,ukitaka kujua vifo vipo nenda hospitali kunatisha,kunakatisha tamaa..tumuombe Mungu sana sana atupe vifo vyema.
Pole sana mama mchungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom