Makapuku Forum

Makapuku Forum

Suala la kuuguza ndugu linahitaji moyo sana wa kujitolea

Nakumbuka nililala sana pale MNH almost miezi miwili kwa kuuguza honestly unachoka ila unapata nguvu ndugu wakija kukutembeleeni.
Pole sana ,ila tunapswa kuvumilia n kufanya matendo ya huruma si kwa ndugu tu hata kwa watu baki.

Siku chache hizo nilipokua na mgonjwa muhimbili nimekutana na watu hawana ndugu kabisa,wanatamani hata wa kumwambia umeamkaje na kumpa uji,kuna mzee wa kiume ana miezi kumi pale ,mke watoto wamekimbia na hajui aende wapi ,ea mikoani ndio kabisaa wanatoroka hospitali huku wangali wagonjwa.Mungu atusaidie sana
 
Pole sana ,ila tunapswa kuvumilia n kufanya matendo ya huruma si kwa ndugu tu hata kwa watu baki.

Siku chache hizo nilipokua na mgonjwa muhimbili nimekutana na watu hawana ndugu kabisa,wanatamani hata wa kumwambia umeamkaje na kumpa uji,kuna mzee wa kiume ana miezi kumi pale ,mke watoto wamekimbia na hajui aende wapi ,ea mikoani ndio kabisaa wanatoroka hospitali huku wangali wagonjwa.Mungu atusaidie sana
Mungu atuzidishie upendo mkuu
 
Pole sana ,ila tunapswa kuvumilia n kufanya matendo ya huruma si kwa ndugu tu hata kwa watu baki.

Siku chache hizo nilipokua na mgonjwa muhimbili nimekutana na watu hawana ndugu kabisa,wanatamani hata wa kumwambia umeamkaje na kumpa uji,kuna mzee wa kiume ana miezi kumi pale ,mke watoto wamekimbia na hajui aende wapi ,ea mikoani ndio kabisaa wanatoroka hospitali huku wangali wagonjwa.Mungu atusaidie sana
aisee inasikitisha sana
 
Kifo cha ghafla ndo kizuri kwa marehemu maana haupati msoto sana....Mimi ndo chaguo langu km ingekuwa tunachagua

Kifo cha kuumwa ni kibaya kwa marehemu nafikiri km umewahi kulazwa unafahamu jinsi mtu unavyootaota ndoto za ajabu na stress za kufa mtu pia watu kuuguza wanakuchoka maanaunawapotezea fedha na muda japo hawawezi sema na hata ukifa moyoni huwa wanafurahi umewapunguzia mzigo mgonjwa gani hata nafuu hupati

......
Mmh ni ngumu,hatuwezi amua na kifo kipo hatuwezi kikimbia
 
0645ab2456d0f2e7b454025d654b5a3e.jpg
Half Time

Marefa wa bongo bhana..zimeongezwa dk 2 yy amechezesha 49:36 duh wana sheria zao labda
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom