Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kifo hakina umri
Nilimpoteza best friend akiwa na 21 yrs tu niliyepishana nae kuzaliwa kwa siku moja, tumezaliwa mwezi mmoja, mwaka mmoja
...
Pole sana mkuu ni kweli apangalo Mungu huwa,Mungu anaruhusu ili tuweze kumfahamu na kumheshimu siku zote za maisha yetu,hatujui siku wala saa ambayo atatuita hatujui umri tutakaokua nao tunapaswa kuwa tayari kiroho na hata wenzetu wanapotangulia tufahamu kuwa hata sisi tutafuata lini ni siri yake Mungu ,kifo gani Mungu anajua ..tujiweke tayari na kuwaombea wenzetu waliotangulia japo namna vifo vinavyotokea vingi vingeweza zuilika
 
f9285a61236f98292bc9a20a6c1b6c04.jpg
Napaonaa ufundiii
 
Hakina umri ndio ila kuna kifo ambacho kinaumiza zaidi ya tunavyofikiri...
Mtu sio mgonjwa, kaenda kazini halafu mnaletewa marehemu!!!
Kifo cha ghafla ndo kizuri kwa marehemu maana haupati msoto sana....Mimi ndo chaguo langu km ingekuwa tunachagua

Kifo cha kuumwa ni kibaya kwa marehemu nafikiri km umewahi kulazwa unafahamu jinsi mtu unavyootaota ndoto za ajabu na stress za kufa mtu pia watu kuuguza wanakuchoka maanaunawapotezea fedha na muda japo hawawezi sema na hata ukifa moyoni huwa wanafurahi umewapunguzia mzigo mgonjwa gani hata nafuu hupati

......
 
Kifo cha ghafla ndo kizuri kwa marehemu maana haupati msoto sana....Mimi ndo chaguo langu km ingekuwa tunachagua

Kifo cha kuumwa ni kibaya kwa marehemu nafikiri km umewahi kulazwa unafahamu jinsi mtu unavyootaota ndoto za ajabu na stress za kufa mtu pia watu kuuguza wanakuchoka maanaunawapotezea fedha na muda japo hawawezi sema na hata ukifa moyoni huwa wanafurahi umewapunguzia mzigo

......
Aiseee mm ninavyoogopa hata sijui changu kitakuaa cha vipi Mungu anisaidie tu
 
Aiseee mm ninavyoogopa hata sijui changu kitakuaa cha vipi Mungu anisaidie tu
Mi nimewahi kulazwa siku 10 nilikuwa na Malaria 20+ aisee siku 1 wodini niliiona ndefu km wiki kitaa
Mara mgonjwa huyu afe, usiku ndoto mbaya za kufa MTU, yaani stress na mawazo ya kufakufa tu haswa km nafuu hupati

Ukweli kuugua sio kufa ila chamoto utakiona maana hakuna asiyejua ugonjwa ni chanzo cha vifo
....
 
Mi nimewahi kulazwa siku 10 nilikuwa na Malaria 20+ aisee siku 1 wodini niliiona ndefu km wiki kitaa
Mara mgonjwa huyu afe, usiku ndoto mbaya za kufa MTU, yaani stress na mawazo ya kufakufa tu

Ukweli kuugua sio kufa ila chamoto utakiona maana hakuna asiyejua ugonjwa ni chanzo cha vifo
....
pole sana kwa ulivyoumwa
yaan mm naogopa kufa serious yaan ata sijui nikiumwa ata malaria nawaza sijui naweza kufa Mungu anisaidie anipe mwisho mwema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom