Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mimi niko tazara mkuu tunacheza na zege apa kazi tuuu![]()
![]()
Mpaka lee atoke maporini
Baadae tunaamia ubungo
Mimi niko tazara mkuu tunacheza na zege apa kazi tuuu![]()
![]()
Mpaka lee atoke maporini
HahahaSiku hizi singeli ndo zinachezwa ..sasa wewe subiria kwaito
Unachochea sana bhanaNipojeee jamaniiiii
Sasa si ungesema kwenye mabega tuuShem
Mbona unalazimisha hivyo, mgongoni kwenye mabega
njo unipige nachoUnavitaka na wewe ??
Mimi nipo watakuja wataondoka watamiachaaSijuii
Basi SawaSasa si ungesema kwenye mabega tuu
hahahaha yaan nacheka sina mbavuLazima nije dar kucheza kwaito aisee
aisee kwa nyuma ndio wanapigaUnamaanisha mgongoni kwa nyuma au ??
Ya man fongo tutakuchezeaaHahaha
Hata singeli potelea mbali nitacheza tuu
mzee wa harakatiSikutaka tu kujazia shem
hivi bado tu haujaopoa utuletee kawifi hukuWe cheka tuuhahahaha yaan nacheka sina mbavu
hahaha umeshindwa kwa nn kwa sbbu ya man u wanavaa jezi nyekunduMie nimeshindwa
singeri tenaSiku hizi singeli ndo zinachezwa ..sasa wewe subiria kwaito
Mie kwangu mtacheza kwaito, nimejifunza mwaka mzima halafu niisiicheze, haiwezekaniYa man fongo tutakuchezeaa
Wacha bwanaa ngoja nikae kimya make nayo sirahaUnachochea sana bhana