Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

Someone is sitting in the shade today because someone planted a tree a longtime ago

Kuna mtu amekaa kwenye kivuli leo kwa kuwa kuna mtu alipanda mti siku nyingi


Haya maneno yalipatwa kusemwa na mwekeaji, mfanyabishara wa kimarekani Warren Buffett aliyezaliwa 30/08/1930 ktk jiji la omaha, Nebraska nchini marekani.

Buffet kwa sasa ni tajiri no. 2 akiwa na utajiri unaokadiriwa kufikia $ 75.6 billion.

8e5dd367a07e0bc0da13ec029bcbca82.jpg


Buffett ni mkurugenzi na mmiliki wa makapuni ya Barkshire Hathaway yenye makao makuu mji wa omaha, Nebraska.
6645d6d84d034b32a6e9b6fe35619126.jpg


7b57092c6a684924dac82790abef4c83.jpg


Morning motivational.

Buffet anazungumzia maisha ya baadaye, ili uweze kuwa na maisha mazuri lazima uwe na maadalizi sasa hivi..

Panda mti leo ili kesho ufaidi kivuli chake, panda mti ili ufaidi matunda yake..

Transcend.
 
1984 - Edward Sokoine anafariki Dunia katika Ajali ya gari huko Dumila, Mkoani Morogoro.

Leo ni miaka 33 tokea kifo chake.

Alikuwa ni Waziri Mkuu wa Tanzania mara mbili, kipenzi cha Wanyonge na watanzania wengi.
Vita yake dhidi ya Uhujumu Uchumi ilipamba moto kiasi cha kufanya walanguzi kumuogopa vibaya.

Alifariki baada ya gari alilopanda kupata ajali ya kugongwa na gari la Mkimbizi wa Afrika Kusini aliyejulikana kama Dumisane Dube.

Alitajwa kama mtu ambaye angemrithi Nyerere kwenye Urais mwaka mmoja baadae 1985 mara baada ya Nyerere kutangaza kung'atuka.

Ajali yake mpaka leo imebaki kuwa na utata wa hali ya juu.

Chuo Kikuu cha Kilimo na Ufugaji mjini Morogoro, Sokoine University of Agriculture ( SUA ) , kimepewa jina lake kama kumuenzi.
.....aliehusika na kifo chake naskia alikuwa anataka uwaziri mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom