Makapuku Forum

Makapuku Forum

609306c25152814fd8c58e1f0d445aaf.jpg
892ac17a52050e81a736b1bad30fed4d.jpg
 
Uko sahihi mkuu, Afcon ya mwaka 1996 pia walikuwepo akina Dr Khumalo, Mark Fish, Phil Masinga ambapo moto uliendelea mpaka World Cup ya 1998 yeye akiwa ndio nahodha.
83a3b307e2572bb8e709c55fa05e6c5e.jpg
f4917747829dde9509e57cf1fbbbe0e6.jpg
Bila kumsahau Quinton Fortune na kipa tolu kimbaumbau mzungu sijui aliitwa Vonk
Hii ndo timu ya mwisho ambayo wazungu walikuwa tegemeo na kupata namba kikosi cha kwanza

Siku hizi full weusi, wazungu wapo kwenye rugby tu

.....
 
Waiting mkuu
Mrejesho

Messi hajawahi kumfunga Buffon

Ila ana kumbukumbu ya makipa hawa wawili
Peter Cech alisema hajawahi kufungwa na Messi matokeo yake alikuja kufungwa magoli mawili kwa miguu yote kati ya matatu akiwa na Arsenal
Manuel Neuer naye alisema vivyo hivyo akaja kufungwa long range goal

Sijui kwa mkongwe Buffon mechi ya marudiano
 
Mrejesho

Messi hajawahi kumfunga Buffon

Ila ana kumbukumbu ya makipa hawa wawili
Peter Cech alisema hajawahi kufungwa na Messi matokeo yake alikuja kufungwa magoli mawili kwa miguu yote kati ya matatu akiwa na Arsenal
Manuel Neuer naye alisema vivyo hivyo akaja kufungwa long range goal

Sijui kwa mkongwe Buffon mechi ya marudiano
Cech akiwa Chelsea fc hajawahi kufungwa na messi ila akiwa arsenal akalambishwa ..marudiano simpi nafasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom