Mwekahazina umejionea mwenyewe matokeo ukwaju kabisaaaaaaaaaaa
Mukongo aka Baba mchungaji ulichokisema kimetokea japo mm nilikuwa sijui kama kitakua kiama kama ilivotokeaa ....
Ila mkuu ndo maana kipindi tunaipitia mapema ilinichukua mda kudadavua kibibi hiki ....anyway kwanza pole kwa Dortmund ila na Leo Siku ila Juve wewe
Twende sawa kidogo mkuu ..... Juventus 3-0 Barcelona.

Moja ya vitu vilivyowafanya Juventus kutoka na clean sheet ni nidhamu yao ya kufanya making katika eneo lao, team work pia.... Wanapopoteza mpira wanafanya pressing za haraka kuziba mianya katika eneo lao, na ndio maana mara nyingi Barcelona walikuwa hawajui wafanyaje wanapofiki nje ya box la Juventus sababu wanakuta teyari pameshajaa.....
W-formation (3:4:3) inafeli ugenini..... Huu mfumo kuna wakati unakupa unachotaka kama patterns zitafanya kazi kisawa sawa na kama utakutana na timu itakayo shindwa ku unloack mipango yako.... Pamoja na kuwa na utatu wa MSN Bado katika mchezo wa Leo fc Barcelona walihitaji kutumia mipira ya kupiga nje ya box..... Ndio maana mipira michache iliyopigwa na Barcelona nje ya box la Juventus ilikuwa na madhara kuliko mipira iliyoingia ndani ya box kama penetration pass.
Miracle appear at one.... Wenye mizimu yao ndivyo husema angalia mchezo uliopita alipita kwa jumla ya goli 6-5.... Hii inaonyesha ubora wa fc Barcelona ulivyo chini katika michezo ya ugenini ila pia Barcelona udhaifu wao mkubwa unaanzia katika eneo la kiungo mpaka kwa back line yao... Na ndio maana wanaruhusu goli nyingi zaidi japo nao wanafunga pia.
Paul dybala alikuwa anacheza nyuma ya mshambuliaji wa mwisho Gonzalo Higuan na mbele ya viungo wawili Pjanic na Khedira akiwa katikati ya Mario mandzukic na Juan Cuadrado.... Huyu dybala ndiye mchezaji aliyekuwa free uwanja kwa upande wa Juventus.... Aina ya mguu anaotumia, aina ya uchezaji wake, namna alivyofunga magoli yake hakuna cha kushangaa..... Eneo alilokuwepo namna alivyopokea mpira alivyo turn na angle aliyompeleka Ter Stegen ni kazi ya mguu wa kushoto tu kwa goli la kwanza....
Goli la pili la dybala sijui Pique alikuwa anawaza nini maana mpira mpira ulipopitishwa na eneo alilokuwepo unaendelea kumpa credit mpigaji..... Hii miguu hata ile timu yetu inaikosa 100%.
Kwangu man of the match ni Georgia Chiellin..... Making nzuri kama mtu wa mwisho, bloking na interception ndani ya box lake ni ushujaa wa kiwango cha juu....
Barcelona wanapoteza mchezo wa pili mfululizo ndani ya siku 4.... Timu ina uchovu sana na hii inatokana na ufinyu wa kikosi.
Tusubiri kiwanja cha miracle labda kuna chochote kitu.....ila

mwenye kujua au kuwa na kumbukumbu atukumbushe ....Hivi Messi mara ya mwisho kumfunga huyu bwana lini ???