Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
hahahhh baby wako nae n simbaLeo wengi watanyimwa chakula cha usiku.
jiandae kunyima na baridi hii
hahahhh baby wako nae n simbaLeo wengi watanyimwa chakula cha usiku.
Km Simba baada ya kutandikwa 2:0 na Kagera Sugar tena mabao ya kideoni halafu anataka kupewa point 3 na magoli 3 ya mezani. Basi na Barcelona pia wapewe maana nao juzi tu wamekung'utwa 2:0 na Malaga maana vipige vyao vinafanane mfano wote wamefungwa goli moja kila kipindi tena ya counter attack yenye ufundi na wote wanashika nafasi ya pili wanahitaji point kwa udi na uvumba wachukue ubingwa
Kweli mpira wa Bongo magumashi bora tushabikie rede maana japo chupi tutaona
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
hahahhh shedede rapa bonge la handsomeVipi mdogo wangu
Embu muite Shedede rapa


mkesha kwenye chumba cha maombi.imeshavurugwa mzungu wa 4 au vyumba tofauti vinahusika
nenda baba angu tutaonana keshoNajiendeaa kwa bhinamu obe
Niliifuta baada ya kuichokahii movie sichoki kuiangalia
For meBest movie ever..
ndio unapokesha leomkesha kwenye chumba cha maombi.
Cool fakalavaHabari za mchana Kapuku family?
Timu ya kipuuzi, inakamia game ya Yanga tu basi!!!Mtapewa point za mezani
![]()
![]()
![]()
....
Inahusu nini?kweli hiki kitu ni ya kujaribu kwani hautumia pesa wala zaidi ya dakika 1 Car From Japan Grand Giveaway 2017
Mkuu send it ...I'll send to ya
Mbona mnamsakama chief inspectorhahahhh shedede rapa bonge la handsome![]()
katuachia uzi wake kasepa
mlinzi wake dr.lee![]()
Owkey thanks, nimesha-editni 31 mkuu
Ata kesho sirudiiinenda baba angu tutaonana kesho
msalimie binamu sana
hahahhh shedede rapa bonge la handsome![]()
katuachia uzi wake kasepa
mlinzi wake dr.lee![]()
mlinzi hajui mateka wake yuko wapi HahahaTimu ya kipuuzi, inakamia game ya Yanga tu basi!!!
Wewe ndiyo utakesha huko, mimi nakesha nagonga ngozi kwenda mbele...😵🙄ndio unapokesha leo
Unaichekiii nnmanyika akikaa golini huwa simwamini kabisa
leo tusipofungwa 4 sijui