Makapuku Forum

Makapuku Forum

1973 - Robert Carlos anazaliwa.

Beki wa zamani wa kushoto wa Inter Milan, Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil.

Anatajwa kama beki bora wa kushoto kuwahi kutokea katika historia ya mpira wa miguu.

Alijulikana kama " The bullet man " kutokana na uwezo wake mkubwa wa kupiga mashuti.

Anakumbukwa kwa freekick yake dhidi ya Ufaransa mwaka 1997 ambapo wengi walidhani mpira aliopiga unatoka nje lakini ghafla ulirudi ndani na kujaa wavuni.

Ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2002 pamoja na Uefa Champions League akiwa na Real Madrid mwaka 2001.
6a5062bb3aadb5666acdc879334edde9.jpg
8f14e2210f7980cde60678d53408d252.jpg
759479c01d4c5055e879fa921229bb49.jpg
bd6e25b2d9f1b6337ce81efca3f621bc.jpg
6e5bab334db55561377448255bd367d2.jpg

Mkuu rekebisha kidogo ni Roberto

Moja kati ya freekick ya ukweli , jamaa alijaaliwa nguvu za miguu

.....
 
Km Simba baada ya kutandikwa 2:0 na Kagera Sugar tena mabao ya kideoni halafu anataka kupewa point 3 na magoli 3 ya mezani. Basi na Barcelona pia wapewe maana nao juzi tu wamekung'utwa 2:0 na Malaga maana vipige vyao vinafanane mfano wote wamefungwa goli moja kila kipindi tena ya counter attack yenye ufundi na wote wanashika nafasi ya pili wanahitaji point kwa udi na uvumba wachukue ubingwa

Kweli mpira wa Bongo magumashi bora tushabikie rede maana japo chupi tutaona


...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom