Makapuku Forum

Makapuku Forum

1970 - Paul McCartney anatangaza kujiondoa kwenye kundi la The Beatles ikiwa ni sababu binafsi ndio zimemfanya zimuweke kando.
d00c95dce1962a55d232683101d5ff91.jpg
ceb7a6b68fdf24d75b49cfcd7a01bee4.jpg
5aacfadbaffeae1dc2c5817922792328.jpg
5eea7b4e48b5d5c93b126dbf5ef78183.jpg

Hawa matozi wote walikuwa na marinda?
.....
 
1973 - Roberto Carlos anazaliwa.

Beki wa zamani wa kushoto wa Inter Milan, Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil.

Anatajwa kama beki bora wa kushoto kuwahi kutokea katika historia ya mpira wa miguu.

Alijulikana kama " The bullet man " kutokana na uwezo wake mkubwa wa kupiga mashuti.

Anakumbukwa kwa freekick yake dhidi ya Ufaransa mwaka 1997 ambapo wengi walidhani mpira aliopiga unatoka nje lakini ghafla ulirudi ndani na kujaa wavuni.

Ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2002 pamoja na Uefa Champions League akiwa na Real Madrid mwaka 2001.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom