Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unbelievable facts ;

f350a44bb31cc3b0acdff1a4e2d91780.jpg


"He had no hobby, cared for no sort of amusement of any kind and lived in utter disregard of the most elementary rules of hygiene ... His method was inefficient in the extreme, for an immense ground had to be covered to get anything at all unless blind chance intervened and, at first, I was almost a sorry witness of his doings, knowing that just a little theory and calculation would have saved him 90 percent of the labor. But he had a veritable contempt for book learning and mathematical knowledge, trusting himself entirely to his inventor's instinct and practical American sense."
 
Wakuu kumekuchaa salama ..tumshukuru aliye juu kwa kutuwezesha kuiona Siku hii muhimu kwetu kwa kafikisha mwaka mmoja ,tunawashukuru founder wote mkuu rais Bitoz asante sana kwa kutuwezesha na sisi tukawa na Sehemu yetu ya kujitawala ...shukrani balozi Bitoz na kapuku wote

Nikiri wazi kuwa Mimi hili jukwaa limekuwa faraja kwangu nikiwepo humu najihisi amani

Unbelievable facts ; makapuku anniversary imeshare na birthday ya MWANANGU Siku ya Leo ..kwa nini nisiipende kapuku ???

Shukrani wakùu

d7fc4ee37e5e47e123317bfb5cc37419.jpg
Hongera sana makapuku kwa safari nzr mlioifanya kwa mwaka mzima!!!

Nahisi kuchelewa kujiunga na kapuku kwa sababu ni sehemu Salama to stay but naamini now nitakuwa nanyi Sana na Mimi mwaka kesho mda kama huu niwe nimetimiza mwaka....

Sitawaangusha na nimetokea kuipenda kapuku kwa kiwango cha juu....

Aliye nileta hapa ananipenda kweli kweli!
 
HAPPY ONE YEAR ANNIVERSARY THANK YOU LORD FOR BRINGING US THIS FAR ..ASANTE MUNGU KWA UMOJA ,UPENDO,MSHIKAMANO,MAELEWANO ,KUJALIANA NA TUNAOMBA UTUJALIE UZIMA ILI TUWEZE KUDUMISHA MSHIKAMANO HUU..ASANTE SANA WOTE WALIOANZISHA JUKWAA HILI NA WANAOSIMAMIA KWA UPENDO NAJISIKIA AMANI KUWA MAHALI HAPA NASHUKURU SANA KWA NAMNA TUNAVYOCHUKULIANA KWA UPENDO..WE BELONG TO EACH OTHER..THANK YOU LORD

1.Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa,
/wakipatana vema na wakipendana/

2.Kama umande mzuri unyweshavyo shamba,
/hivyo na Mungu wetu abariki ndugu/

3.Upendano hujenga boma zuri kwao,
/wakae kwa amani waliookoka/

4.Na ulimwengu wote wavutwa nuruni,
/halafu kundi moja na mchunga mmoja tu/

TUDUMISHE UMOJA WETU:

Waebrania 10:24 tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri

Mhubiri 4:9,10,12 9 afadhali kuwa wawili kuliko mmoja maana wapata ijara kwa kazi yao

10 kwa maana akianguka mmoja wao atamwinua mwenzake ,lakini ole wake aliye peke yake aangukapo wala hana mngine wa kumuinua........

12hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake ,wawili watampinga wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi...


mbarikiwe sanasana ,daima tuombeane

Asante Mkuu Bitoz kwa kuwa mwanzilishi na kutupokea mahali hapa asante wakuu wote mnaoendelea kupafanya mahali hapa kuwa pazuri kwetu wote.

Amen
Tunafurahi kuwa na wewe kwenye jukwaa letu ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom