BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Nawe pia ubarikiwe sananipo mkuu
usiku mwema ndugu'z
Nawe pia ubarikiwe sananipo mkuu
usiku mwema ndugu'z
AnakujaMama mchungaji mmeo ni nani?
Mke wangu s usiku mwema mpenzi..Mume wangu T usiku mwema mpenzi
Nimefurahi mnooo kuwa nawe mpaka mida hii....
Ulale unono ubavu wangu, Nakupenda mnoo sweet wangu!!
Wana familia Mungu akijaalia kesho tutakutana tena!! Muwe na usiku mwema wote!!!
T Mwaaah


Dr.lee ilo jina unalionaje hashindwi nakitu
Mpaka nawekwa iko kikojoleo ye yuko wapi?![]()

HahahaBasiiiioo yameishamo..
Mwisho utakuja kusema hutaki leo tutekenyane..
Yuko unguja...alienda wapi huyo kisheti
kafanyaje tenaBashitee anaweza kuchezaa na akili zetu aisee mpaka daah..!!
Vunga basiii...nyie watu mpo kwenye jukwaa mjue
Love you more hubby wa mie apaMke wangu s usiku mwema mpenzi..
Nimekuwa na weekend njema sana cz uko pembeni toka asubuhi..
Nakupenda maana unanipa furaha na faraja..
I promise to love you forever...
Usiku mwema Mke wangu..!
![]()
si ameshafika toka jana nilijua kapaa tena kwenda sehem nyingineYuko unguja...
Alisema roma na wenzio watapatikana kabla ya Jpili na kweli wamepatikana leo... Akati walitekwa .!! Na kamanda siro alisema hana uhakika juu ya hilokafanyaje tena
Lala salama Damu ya Yesu ikufunike..Usiku mwema raia wangu

kwahiyo Roma ameshaachiwa au badoAlisema roma na wenzio watapatikana kabla ya Jpili na kweli wamepatikana leo... Akati walitekwa .!! Na kamanda siro alisema hana uhakika juu ya hilo
Keshaachiwa mida mingi tuu !kwahiyo Roma ameshaachiwa au bado
Ndio wamepatikana jioni hii...! japo roma kaumia mguu sijui..yanii bashitekwahiyo Roma ameshaachiwa au bado
Kumuita Sumbai na Baily5alienda wapi huyo kisheti
sijui kama atafunguka vizuri nahisi kama watakua wamemziba mdomoKeshaachiwa mida mingi tuu !
Jtatu ana press..
Aisee pole yake sanaNdio wamepatikana jioni hii...! japo roma kaumia mguu sijui..yanii bashite
Nina wasiwasi akikaa sana kule atakuwa beach boyGood...
Kijana ale maisha kidogo..