Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tunaanza na akina Samatta wakiendeleza kutokufungwa mechi ya pili bila kuruhusu nyavu kutikiswa
5552fc8e1f16093ea04a1464826b878f.jpg

Yanga yeye akipata ushindi mwembamba dhidi ya wa-Algeria
719771889ec2ac1f89e87f8361bfb57e.jpg

Chelsea wakiwa moto kufukuzia ubingwa huku Tottenham akiwa anamfukuzia kimya kimya
da86a8c5cfb3325648909db025499d65.jpg

Juventus nae hayupo nyuma katika mbio za ubingwa
ec0cb6706f147ec562af1e349699896a.jpg
 
Ligi kuu Tanzania bara nayo haiko nyuma, mechi ya Mbao vs Simba imesogezwa mpaka Jumatatu
ce577806ba47264191c73eb9e09b39fd.jpg

France league 1
Monaco anaendelea kung'ang'ania kileleni
e7289bf712cefba4aaf493fa40d6cef0.jpg

Bundesliga
Bayern on fire dhidi ya Dortmund huku RB Leipzig nae akiwa anafuata nyayo za Bayern
65746f6b4876cc1fc3ea6ecc78fc319c.jpg

Netherlands EREDIVISIE
2da0d325274ed5020589bd8230aaceac.jpg

Spain LaLiga
Wakati Madrid derby ikimalizika kwa sare ya 1-1, Malaga anamuadhibu Barcelona 2-0 huku Neymar akipata kadi nyekundu na kuigharimu zaidi timu
02c03ddcff08d8bf68ebd4cc16087ebf.jpg

Kenya premier League
7e9b69852bda863299a6f19fef4ff1a6.jpg
 
100% true. Kuna kapuku namjua ana Ph D tena ya chuo kimoja mashuhuri sana huko majuu na kiakademia ni mzuri sana. Lakini naye yupo hapa tunacheka naye na kuondoa stress. Jukwaa la siasa kule ukikaa nusu saa tu unaona presha inaanza kupanda. MMU nako vijana wa facebook wako na xhughuli xana. Inabidi tu kuja hapa kucheka na kupumzika na kwa sisi ambao hatunywi hata pombe hiki kimegeuka ndo kijiwe chetu.
Mkuu hii mbona kawaida tu humu vichwa vimejaa usivichukulie poa...mi mwenyewe kuna mmoja nilimchukulia poa sasa siku tumekutana LIVE duh nikakuta ni mtu msomi(masters) ana maisha yake matawi ya juu yaani lakini sio mtu wa Maringo wala kujionyesha akiwa hapa KF
Tukazoeana na kunitonya " yule kapuku fulani ana mkwanja mrefu km treni ila hajioneshi km nanihii"
Nikacheka, tukapiga kilaji

Tangu siku ile ht nimuone mtu humu anapost kijingajinga simchukulii poa najua ni swaga tu za kikapuku

Usimdharau usiyemjua
...............
 
Mkuu mi mbona kawaida tu humu vichwa vimejaa usivichukulie pia...mi mwenyewe kuna mmoja nilimchukulia poa sasa siku tumekutana LIVE duh nikakuta ni mtu msomi(masters) ana maisha yake matawi ya juu lakini sio mtu wa Maringo wala kujionyesha akiwa hapa KF
Tukazoeana na kunitonya " yule kapuku fulani ana mkwanja mrefu km treni ila hajioneshi km nanihii"
Nikacheka, tukapiga kilaji

Tangu siku ile ht nimuone mtu humu anapost kijingajinga simchukulii poa najua ni swaga tu
...............
Salute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom