Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna makapuku wanachukua masters uk, lakini kuna kapuku mfanyabiashara mkubwa sana dar nk. Hiki ni kijiwe cha kuondoa stress
100% true. Kuna kapuku namjua ana Ph D tena ya chuo kimoja mashuhuri sana huko majuu na kiakademia ni mzuri sana. Lakini naye yupo hapa tunacheka naye na kuondoa stress. Jukwaa la siasa kule ukikaa nusu saa tu unaona presha inaanza kupanda. MMU nako vijana wa facebook wako na xhughuli xana. Inabidi tu kuja hapa kucheka na kupumzika na kwa sisi ambao hatunywi hata pombe hiki kimegeuka ndo kijiwe chetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom