BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Hakika mke ni mlinzi wa mume so unafanya vyema kabisaHahaha
Mama Mchungaji nimeona wametinga wote hapa eti
Hakika mke ni mlinzi wa mume so unafanya vyema kabisaHahaha
Mama Mchungaji nimeona wametinga wote hapa eti
Yaaani umenena mkuuu100% true. Kuna kapuku namjua ana Ph D tena ya chuo kimoja mashuhuri sana huko majuu na kiakademia ni mzuri sana. Lakini naye yupo hapa tunacheka naye na kuondoa stress. Jukwaa la siasa kule ukikaa nusu saa tu unaona presha inaanza kupanda. MMU nako vijana wa facebook wako na xhughuli xana. Inabidi tu kuja hapa kucheka na kupumzika na kwa sisi ambao hatunywi hata pombe hiki kimegeuka ndo kijiwe chetu.
Majamaa mengine hasara mtu anaeleweshwa anajifanya nunda bahati yake nimechelewaaHahaha
Hilo jibu ni la Burundi
Nimemuelewesha vizuri..Mungeliniachiaa huyi
Bahati yake


Shedede naye kakupatia shemeji hapa hapa Makapuku? Kama ni hivyo hongera zake. Juzi juzi tu hapa nilikuwa nahenya naye wakati tuko gizani hatujazijua couple za hapa Makapuku. Tukigusa huku vitisho balaa mpaka jamaa mmoja akatutishia kututoa uhai kisa Shunie. Kha!Mkuu,
Hivi shemeji yetu ni nani?
Yuko single badoMkuu,
Hivi shemeji yetu ni nani?
tuachie ujinga bwege wewe sasa ulikuja kufanya nini huku kama na wewe si mpuuzi??Hamna tatizo. Basi huu uzi ni wa wapuuzi watupu.
Namjua Mimi tuBado nafanya investigation![]()
![]()
Oooh! Wewe sema miznguo tuuKwa hiyo huyo ndo wewe, acha mzinguo basi
AmenKuna Kapuku ni bibi analea wajukuu tu nyumbani.we are a wonderful family with all background na respect ..nafurahia tunavyoheshimiana as if tunajuana miaka mia iliyopita..namshukuru sana Mungu kwa ajili yenu woteee
ukimaliza utaniambiaNgastukaa
Kesho ndio nitakua na lakusema wapendwatushirikisheni na sisi jamaan wana kondoo mama mchuchu
mama mchungaji najaribu kuona jinsiShedede vipiiiiii..don't drop

bas baba ameshasepaMungeliniachiaa huyi
Bahati yake
Koma na ukomae mbona shunie unamgeuza kama bashite kutajwatajwa kila sehemuKila siku huwa naongea ukweli. Sema tu huko nyuma Shunie alikuwa ananichanganya na kuwinguisha fikra zangu (cloud my mind). Tangu niponyoke huko naona nimekaa sawa mpaka mwenyewe najishangaa. Uhuru ni hekima!
Namshangaahuyo ndio wwmbona umetuwekea hiyo
sinaga manfongo styleAkikujibu niite

Lifanyiee kazi mkuuBado nawaza shemela na transcend wametoka wapi ??
I think kesho takuwa nimemaliza my investigation bcoz now kuna taarifa za kusadikika