BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mungu yu mwema ananitunza namshukuru za uzima?za-huko...AmenMpendwa tkt Bwana, hali yako
Mungu yu mwema ananitunza namshukuru za uzima?za-huko...AmenMpendwa tkt Bwana, hali yako
Ooh! Huku hapa unataka kesi sasa !
Kuna wazee nilikuwa nao Dec mwaka jana..!
Do nt try this! It will back fire you..
sasa kwa wazee unafanya nini
Nilishakuonya wa kigali huwawezi ni wasaliti, ukabila unawatesa mkuu. Hebu ingia kule basi?Mi nimeshajitoa mkuu kwa sababu mchuano ni mkali mno. Sijawahi kuona mwanamke anagombaniwa na midume lukuki namna hii. Sijui ana nini huyu Shunie. Kama nilivyosema, mimi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Couple za hapa ngoja tuziache zipumzike.
Hili jibu babkubwaHauhusu cho chote. Na wakati huo huo unahusu cho chote. Kuna tatizo?
Aiiiiiyaaaaa!Nikuonapo roho yangu hupasuka pwaaaa
Manake aje pm eeh?Polepole Mkuu!!! Mambo mengine si ya hadharani!!! Baby Mondray yupo humu!!!
Kila wakati Mungu ni mwema, nafurahia ukuu na baraka zake piaMungu yu mwema ananitunza namshukuru za uzima?za-huko...Amen
Kila kitu...Huu uzi unahusu nini?? Nauliza tena kwa mara ya pili, tafadhari mwenye jibu.
Hamna tatizo. Basi huu uzi ni wa wapuuzi watupu.Hauhusu cho chote. Na wakati huo huo unahusu cho chote. Kuna tatizo?
Nina kama week 2 sijaona mtu akiwekwa kati..Wapi mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu kwani ulivyokuwa unaandika ulijua unaandika kuhusu nini
By the way humu ni dunia nyingine mkuu
Stay here utaelewa
Anza page 1 utaelewa tuSijaelewa kinachoongelewa ktk uzi huu!
Mkuu,Hamna tatizo. Basi huu uzi ni wa wapuuzi watupu.
Wakati mwingine inabidi kuweka wazi misimamo, falsafa na uzoefu vinginevyo mtu unaweza kujikuta ushabatizwa majina ya kila aina. Na yote yamesemwa katika upendo na ukweli. Tuko pamoja!Mkuu usiende mbaaali sana
Zina nini? Hata sielewi kwa nini naendelea kuwepo humu by the way!Kila kitu...
Au kasome post # 1 na post # 5
Ulisoma bahasha yangu?Wakati mwingine inabidi kuweka wazi misimamo, falsafa na uzoefu vinginevyo mtu unaweza kujikuta ushabatizwa majina ya kila aina. Na yote yamesemwa katika upendo na ukweli. Tuko pamoja!
SAMAHANI WAPENDWA..Tujitahidi kuheshimu majina haya tukiyaandika hivi :![]()
sasa kwa wazee unafanya nini
Nakati mi nalindwa na damu ya yesu apa
YESU
SIO
MUNGU
SIO mungu
BWANA
SIO
Basi nenda kasome post #3Zina nini? Hata sielewi kwa nini naendelea kuwepo humu by the way!
Nashukuru, mimezisoma, swali: makapuku maana yake nini?Mkuu,
Kuwa mstaarabu kama na sisi tulivyokuwa wastaarabu kwako..
Rudi kasome post no. 1 na no. 5 mwanzoni mwa uzi..