Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mi nimeshajitoa mkuu kwa sababu mchuano ni mkali mno. Sijawahi kuona mwanamke anagombaniwa na midume lukuki namna hii. Sijui ana nini huyu Shunie. Kama nilivyosema, mimi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Couple za hapa ngoja tuziache zipumzike.
Nilishakuonya wa kigali huwawezi ni wasaliti, ukabila unawatesa mkuu. Hebu ingia kule basi?
 
sasa kwa wazee unafanya nini

Nakati mi nalindwa na damu ya yesu apa
SAMAHANI WAPENDWA..Tujitahidi kuheshimu majina haya tukiyaandika hivi :

Yesu YESUSIO
yesu

Mungu MUNGUSIO mungu

Bwana BWANA SIO
bwana

Maana tukiandika visivyo tutakua tunazungumzia wale mungu wengine na sio Mungu Baba Mwenyezi tunayemuabudu. na kumuheshimu....asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom