Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shimbaaa!

Unaongea ukweli mtupu..!

Leo umekula nini mkuu?
Kila siku huwa naongea ukweli. Sema tu huko nyuma Shunie alikuwa ananichanganya na kuwinguisha fikra zangu (cloud my mind). Tangu niponyoke huko naona nimekaa sawa mpaka mwenyewe najishangaa [emoji23][emoji23][emoji23]. Uhuru ni hekima!
 
Back
Top Bottom