Makapuku Forum

Makapuku Forum

SAMAHANI WAPENDWA..Tujitahidi kuheshimu majina haya tukiyaandika hivi :

Yesu YESUSIO
yesu

Mungu MUNGUSIO mungu

Bwana BWANA SIO
bwana

Maana tukiandika visivyo tutakua tunazungumzia wale mungu wengine na sio Mungu Baba Mwenyezi tunayemuabudu. na kumuheshimu....asante
Nashukuru mama mchungaji

MUNGUakubaliki kwa kutujuza kwa hilo
 
Ndo inavyokuwaga kaka, maisha ya walowengi humu ni ya watu tulonao mtaani...
Hatuwezi fanana wote
Well said. Na mtu Bab kubwa mara nyingi hajionyeshi. Ukiona anajionyesha basi huyo ama ni limbukeni wa mafanikio au ni Mhaya (utani!). Sema tu hatuwezi kutajana humu lakini hata hapa Makapuku nafahamu wawili watatu hivi ambao kimaisha wako mbali sana. Lakini wapo humu tunacheka na kugombea nao akina Shunie bila wasiwasi. Na binafsi huwa navutiwa sana na watu ambao wako humble. Dunia hii ina bingwa hii mpaka mtu ujae majigambo, dharau na kujionyesha. The tables can be turned in a blink of an eye huwa unayemcheka na kumdharau unamkuta yuko juu...
 
SAMAHANI WAPENDWA..Tujitahidi kuheshimu majina haya tukiyaandika hivi :

Yesu YESUSIO
yesu

Mungu MUNGUSIO mungu

Bwana BWANA SIO
bwana

Maana tukiandika visivyo tutakua tunazungumzia wale mungu wengine na sio Mungu Baba Mwenyezi tunayemuabudu. na kumuheshimu....asante
Unaugusa Moyo wangu mpendwa, ni vyema tuyajue haya
 
SAMAHANI WAPENDWA..Tujitahidi kuheshimu majina haya tukiyaandika hivi :

Yesu YESUSIO
yesu

Mungu MUNGUSIO mungu

Bwana BWANA SIO
bwana

Maana tukiandika visivyo tutakua tunazungumzia wale mungu wengine na sio Mungu Baba Mwenyezi tunayemuabudu. na kumuheshimu....asante
Unaugusa Moyo wangu mpendwa, ni vyema tuyajue haya
 
Well said. Na mtu Bab kubwa mara nyingi hajionyeshi. Ukiona anajionyesha basi huyo ama ni limbukeni wa mafanikio au ni Mhaya (utani!). Sema tu hatuwezi kutajana humu lakini hata hapa Makapuku nafahamu wawili watatu hivi ambao kimaisha wako mbali sana. Lakini wapo humu tunacheka na kugombea nao akina Shunie bila wasiwasi. Na binafsi huwa navutiwa sana na watu ambao wako humble. Dunia hii ina bingwa hii mpaka mtu ujae majigambo, dharau na kujionyesha. The tables can be turned in a blink of an eye huwa unayemcheka na kumdharau unamkuta yuko juu...
Dunia hii ya Mola, hamna sababu ya kuchukiana wala kudharauliana
 
Well said. Na mtu Bab kubwa mara nyingi hajionyeshi. Ukiona anajionyesha basi huyo ama ni limbukeni wa mafanikio au ni Mhaya (utani!). Sema tu hatuwezi kutajana humu lakini hata hapa Makapuku nafahamu wawili watatu hivi ambao kimaisha wako mbali sana. Lakini wapo humu tunacheka na kugombea nao akina Shunie bila wasiwasi. Na binafsi huwa navutiwa sana na watu ambao wako humble. Dunia hii ina bingwa hii mpaka mtu ujae majigambo, dharau na kujionyesha. The tables can be turned in a blink of an eye huwa unayemcheka na kumdharau unamkuta yuko juu...
Kuna makapuku wanachukua masters uk, lakini kuna kapuku mfanyabiashara mkubwa sana dar nk. Hiki ni kijiwe cha kuondoa stress
 
Well said. Na mtu Bab kubwa mara nyingi hajionyeshi. Ukiona anajionyesha basi huyo ama ni limbukeni wa mafanikio au ni Mhaya (utani!). Sema tu hatuwezi kutajana humu lakini hata hapa Makapuku nafahamu wawili watatu hivi ambao kimaisha wako mbali sana. Lakini wapo humu tunacheka na kugombea nao akina Shunie bila wasiwasi. Na binafsi huwa navutiwa sana na watu ambao wako humble. Dunia hii ina bingwa hii mpaka mtu ujae majigambo, dharau na kujionyesha. The tables can be turned in a blink of an eye huwa unayemcheka na kumdharau unamkuta yuko juu...
Shimbaaa!

Unaongea ukweli mtupu..!

Leo umekula nini mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom