Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
SijaionaUlisoma bahasha yangu?
SijaionaUlisoma bahasha yangu?
Karibu sanaUnaugusa Moyo wangu mpendwa, ni vyema tuyajue haya
Karibu sanaUnaugusa Moyo wangu mpendwa, ni vyema tuyajue haya
Asante mama mchuchu kwa kutukumbushaSAMAHANI WAPENDWA..Tujitahidi kuheshimu majina haya tukiyaandika hivi :
YesuYESU
SIO
yesu![]()
MunguMUNGU
SIO mungu
![]()
BwanaBWANA
SIO
bwana
Maana tukiandika visivyo tutakua tunazungumzia wale mungu wengine na sio Mungu Baba Mwenyezi tunayemuabudu. na kumuheshimu....asante![]()
ubarikiwe
Asante, naomba majibu ya utafiti ule dadangu...nijibu kuleeeKaribu sana
huyo shunie mpumzisheni jamaanWell said. Na mtu Bab kubwa mara nyingi hajionyeshi. Ukiona anajionyesha basi huyo ama ni limbukeni wa mafanikio au ni Mhaya (utani!). Sema tu hatuwezi kutajana humu lakini hata hapa Makapuku nafahamu wawili watatu hivi ambao kimaisha wako mbali sana. Lakini wapo humu tunacheka na kugombea nao akina Shunie bila wasiwasi. Na binafsi huwa navutiwa sana na watu ambao wako humble. Dunia hii ina bingwa hii mpaka mtu ujae majigambo, dharau na kujionyesha. The tables can be turned in a blink of an eye huwa unayemcheka na kumdharau unamkuta yuko juu...

Kuna kapuku ni mkulima maarufuKuna makapuku wanachukua masters uk, lakini kuna kapuku mfanyabiashara mkubwa sana dar nk. Hiki ni kijiwe cha kuondoa stress
Mungu awabariki sana sana .Kuna makapuku wanachukua masters uk, lakini kuna kapuku mfanyabiashara mkubwa sana dar nk. Hiki ni kijiwe cha kuondoa stress
Namjibu tuu shem..Muelewesheni vizuri inaonekana hii ni mara ya pili hajibiwi
Mkuu kwani ulivyokuwa unaandika ulijua unaandika kuhusu nini
By the way humu ni dunia nyingine mkuu
Stay here utaelewa

RomaShimbaaa!
Unaongea ukweli mtupu..!
Leo umekula nini mkuu?
Mmh mm nitatoka nae wapiMiss you more
Mbona umeingia na Shunie, metokeamo wapi
Ameweka betri mpyaaaShimbaaa!
Unaongea ukweli mtupu..!
Leo umekula nini mkuu?

kesho naenda kwa gwajimaHahaaa!
Nahisi Bishop amepunguza jazba sasa
SaaafiiiiKuna kapuku ni mkulima maarufu
Mama mchungajiSakayo you Lk AMAZING ON YOU DP,UMEPENDEZA DEAR
![]()
![]()
![]()
Hahahahaha Sakayo umenishindaaaaa khaaa una machoooo.T anapaswa kujipangaMiss you more
Mbona umeingia na Shunie, metokeamo wapi

mlinziiiii![]()
![]()
yaishe kaka mkubwa
usinipe kesi wapi tumetokaTumetoka kuleeee...kule mbalii..