Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu jamaa anafikiri humu wote ni pipo with low IQ kwavile tunapigaga stori hivyo hatujaelimika wala hatujui siasa chafu au nini na nini

Akisikia tunaikosoa serikali ya msukuma mwenzie basi atakuja rundo la maneno kudefend
Nimeishamzoea

........
Bongo ukivaa uhusika kama changudoa kwenye mchezo watu huamini hadi mtaani utazomewa.
Watu wengi wanashindwa kutusoma humu kwa njia zetu za mawasiliano tukiwa humu, jina kapuku linawasumbua sana na kuamini sisi ni malofa flani, wanashindwa kuelewa tuwamo huku tunavaa tu uhusika flani, wanaona tu kapuku hata ktkk maisha ya kila siku.
HUU NI MTAZAMO HASI KABISA.
HUMU WATU WANA MAISHA YAO LABDA HATA KUWAZIDI WENGI WANAOJIONA BABKUBWA.
 
Madenge acha mihemko na ad hominem attacks. Huwa nakuheshimu sana na siamini kama ni wewe unayesema hivi. Kwenye boxing huwa tunasema "You are hitting below the belt". Mpaka na ukabila tena? Low IQ?

Mimi niko huru, sina chama na sitegemei kujikomba kwa mtu ye yote ili kuendesha maisha yangu. Lakini pia huwa napenda sana kuangalia mambo kwa pande zote zote na hujitahidi sana fikra zangu kutogubikwa na ushabiki wa kisiasa na mapenzi mahaba. Sasa wewe tayari umeshakimbilia kunihukumu!

Na kwa nini una uhasama hivi na mawazo yanayokinzana na msimamo wako? Hatuwezi kuhitilafiana kimtazamo bila kushambuliana? We si mpigania demokrasia wewe? Ni demokrasia gani unayopigania ambayo hairuhusu mawazo usiyokubaliana nayo? Umenisikitisha sana!
Mkuu usiende mbaaali sana
 
Bongo ukivaa uhusika kama changudoa kwenye mchezo watu huamini hadi mtaani utazomewa.
Watu wengi wanashindwa kutusoma humu kwa njia zetu za mawasiliano tukiwa humu, jina kapuku linawasumbua sana na kuamini sisi ni malofa flani, wanashindwa kuelewa tuwamo huku tunavaa tu uhusika flani, wanaona tu kapuku hata ktkk maisha ya kila siku.
HUU NI MTAZAMO HASI KABISA.
HUMU WATU WANA MAISHA YAO LABDA HATA KUWAZIDI WENGI WANAOJIONA BABKUBWA.
Ndo inavyokuwaga kaka, maisha ya walowengi humu ni ya watu tulonao mtaani...
Hatuwezi fanana wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom