Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hapana..! Ila nikimuita shunie Dear usilie..Ahaaaaaaaaaah kwan kuna ubaya wowotee
Bila shaka umeanza kunielewa kuwa serikali iko nyuma ya utekaji wa Roma, ninaposema serikali simaanishi ni rais bali waliopewa dhamana na kuaminiwa naye na wanayatumia madaraka na imani waliyopewa vibaya.Huyo jamaa kwangu hana credibility yo yote na naamini kuwa pengine ana matatizo ama ya kisaikolojia au zaidi ya hapo. Na katika hii serikali kuropoka ni kawaida. Kila mmoja anataka atoe mropoko wenye kuvuma zaidi ya mwingine. Na huyu kwa vile anajua kuwa hawezi kuguswa hata aropoke vipi basi kuropoka anaropoka kweli.
Kwa kutoa kauli hiyo ni wazi pengine alikuwa anajua Roma alipo. Wambane (kama kuna wa kumbana) aseme na Ben Saanane atapatikana lini. Hovyooooo!!!
Hapana shem..kwani hamuaminiani??
Mlinzi yupoHapana..! Ila nikimuita shunie Dear usilie..
Mpaka sasa ina episodes ngapi?Season ipo mkuu hiyo naijua kama Baba yetu aliye mbingunii
_*Wiki mbili baada ya harusi,Mama alimuuliza Bintiye,Vp maisha ya ndoa? mtoto akajibu, Du kama British Airways. Mama akatoka mpk airport kuangalia ratiba akakuta inatua kwa wiki mara 7, na ktk kila siku 1 inaenda trip 3, na ktk kila trip 1 inasimama vituo 7 na kila ikitua inafikia nyuma ya uwanja. Mama akazimia.*_
�
�
![]()
Unajua jana sikukuelewa shem?Morning too broda
Well impressiveIn short mkuu
Now imefika season 3 episode ya 12
Lucious kama kawaida yake anaendelea kucheza master plan kama unabomjua hashindwii make he is ready to sacrifice any for his benefit japo aliwashangaza wengi kwa kumtaja Anika as the DNA mother of the company sijajua lengo lake ...
Cookies ; kama kawaida yake suala la family haingizi tofauti zake na lucious she play as a mother japo now penzi la mgombea meya yule Angelo linamsumbua make zile flashback alipotoka na Lyon zinamtesa sana but Angelo anajitahidi sana kumpata cookie
Andre :huyu akili zake unazifahamu he is after something from empire ndo maana ata ukikumbuka enzi zake na Rhonda walikuwa wote after empire
Now anampango wa kumuaa kabisa dingili lake mzee Baba lucious japo bado ni ngumu kutekeleza ...ila kitendo cha kumpata Giuliana naona mission yao itafanikiwa kwa tabu kama Nessa atalisanua ...kumbuka ana kundi la shyne
Anika: japo ana mtoto wa hakeem na licha ya Lyon kumtaja kama DNA wa empire still inaonekana kuna mkakati mkali na mzito yeye pamoja na Tariq ..kumbuka ndo anafatilia kifo cha Frank babake frida
Hakeem: bado akili za utoto unamsumbua japo now ana mtoto kwa anika ila sijui kwa sababu hakubahatika kukumbwa na shida walizopata ndugu zake ...kuanzia kufungwa kwa maza na kurise kwa empire ila familia ishamchoka japo ana kipaji cha ajabu as a rapper
Jamal ; baada ya kuteseka na madawa naona rehab katoka salama na sasa anafokasii kwenye mziki wake japo Dmajor na Phillip wapo njia panda kwenye kumiliki Jamal
In summup Empire iko hot now ....
KeshoNi leo au kesho ???
Shedede anaweza kujibu punch zangu?Mlinzi yupo
Unamjuaa unamsikiaa ??Shedede anaweza kujibu punch zangu?
SawaMrudishe ray vanny
Hahahaa!Unamjuaa unamsikiaa ??
JaribuuuHahahaa!
Namuheshimu sana sakayo!
Afu siku hizi nimeacha yale mambo..! Nishatulia kwa sakayo..
Kwa hiyo wewe jigambe tuu.
Trip njema mkuuSamahanini sana leo sitaweka je wajua? Nipo na ka trip kidogo.
Mungu wa darisalamaNitakurudia, lakini endelea kuitafakari kauli hiii(tutampata Roma kabla ya jumapili by Makonda)