Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Mzee wa serikali umekuja mbio km kawaida yakoUnaelewa jinsi upelelezi unavyofanyika? Siyo rahisi kama unavyodhani unless kama huyo Roma walikuwa wanajua aliko.
Kuhusu kauli kutofautiana serikali hii haina coordination na ni kila mtu na lwake. Ndiyo maana unakuta waziri anasema hichi, Mkuu kabisa anasema hichi, Bashite naye akiibuka anasema hichi ali mradi vurugu tupu.
Ni kweli sijui kitu!
Swali...walioongozana na Bashite Clouds ni akina nani?
Maana mwenzetu inaonekana una akili
.....