mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
"(Kama kuna wa kumbana)"Huyo jamaa kwangu hana credibility yo yote na naamini kuwa pengine ana matatizo ama ya kisaikolojia au zaidi ya hapo. Na katika hii serikali kuropoka ni kawaida. Kila mmoja anataka atoe mropoko wenye kuvuma zaidi ya mwingine. Na huyu kwa vile anajua kuwa hawezi kuguswa hata aropoke vipi basi kuropoka anaropoka kweli.
Kwa kutoa kauli hiyo ni wazi pengine alikuwa anajua Roma alipo. Wambane (kama kuna wa kumbana) aseme na Ben Saanane atapatikana lini. Hovyooooo!!!
means mlopokaji hakamatiki wala hagusiki!!!



