Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,950
- 9,880
Na naombea tu apokee!Nami nasubiri kusikia labda gwaji apokee msamaha wa mondi
Na naombea tu apokee!Nami nasubiri kusikia labda gwaji apokee msamaha wa mondi
Sio rahisi, watu wa kolomije watata sanaNa naombea tu apokee!
Polepole Mkuu!!! Mambo mengine si ya hadharani!!! Baby Mondray yupo humu!!!Nikuonapo roho yangu hupasuka pwaaaa
Huwa siwezi kuzuia hisia zangu liwalo na liwePolepole Mkuu!!! Mambo menine si ya hadharani!!! Baby Mondray yupo humu!!!
Mhhh leo nimeshikwa na mshangao mkubwa!natafakari mambo mengi..jamani tudumu katika maombi.tujiombee,tuombee familia,marafiki,ndugu,nyumba,jamii na taifa hali ni mbayaaaaaa.Huyu ni mungu baal na sharti abomolewe
Cc blessedhope
Well explained!Bongo ukivaa uhusika kama changudoa kwenye mchezo watu huamini hadi mtaani utazomewa.
Watu wengi wanashindwa kutusoma humu kwa njia zetu za mawasiliano tukiwa humu, jina kapuku linawasumbua sana na kuamini sisi ni malofa flani, wanashindwa kuelewa tuwamo huku tunavaa tu uhusika flani, wanaona tu kapuku hata ktkk maisha ya kila siku.
HUU NI MTAZAMO HASI KABISA.
HUMU WATU WANA MAISHA YAO LABDA HATA KUWAZIDI WENGI WANAOJIONA BABKUBWA.
Hakika sipati picha kwa mwenendo huu sijui kesho kutatokea niniMhhh leo nimeshikwa na mshangao mkubwa!natafakari mambo mengi..jamani tudumu katika maombi.tujiombee,tuombee familia,marafiki,ndugu,nyumba,jamii na taifa hali ni mbayaaaaaa.
Mpendwa tkt Bwana, hali yakoWell explained!
Siamini katika uchawi
We loga ila ujue siku naja mjini nilisindikizwa na mapaka
mapaka yanakuja kutetea penzilako kweli umeamua
huruma ninayo sana yaan sana lkn sio kiivyo kaka anguKumbe huna huruma?
Hello pap..Wakimteka Nape watajuta!!!
Mi nimeshajitoa mkuu kwa sababu mchuano ni mkali mno. Sijawahi kuona mwanamke anagombaniwa na midume lukuki namna hii. Sijui ana nini huyu Shunie. Kama nilivyosema, mimi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Couple za hapa ngoja tuziache zipumzike.Wakuu hamjambo nawasalimu kwajina la bwana
Shunie hu mzma wewe naona transcend , shimba wa buyense, mondray wanakunyapia nyapia......
Mkuu kwani ulivyokuwa unaandika ulijua unaandika kuhusu niniHuu uzi unahusu nini?? Nauliza tena kwa mara ya pili, tafadhari mwenye jibu.
Hauhusu cho chote. Na wakati huo huo unahusu cho chote. Kuna tatizo?Huu uzi unahusu nini?? Nauliza tena kwa mara ya pili, tafadhari mwenye jibu.
Ooh! Huku hapa unataka kesi sasa !Sasa tutamroga atashindwa huduma![]()
![]()
![]()
![]()
Naomba nielewe shemu
Mi nimeshajitoa mkuu kwa sababu mchuano ni mkali mno. Sijawahi kuona mwanamke anagombaniwa na midume lukuki namna hii. Sijui ana nini huyu Shunie. Kama nilivyosema, mimi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Couple za hapa ngoja tuziache zipumzike.
aiseeeh