Makapuku Forum

1966 - Mazinho anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil kilichotwaa ubingwa wa kombe la dunia mwaka 1994 pale Marekani.

Ni baba mzazi wa Thiago Alcantara wa Bayern Munich na Rafinha wa Barcelona.
HBD Mazinho
 
Hongereni kwa kuliona hilo
 
hongereni sana kwa kubuni hii kitu mmetusaidia na sisi wengine kujiachia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…