Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Morning Sclfied..Good good mkuu
Morning Sclfied..Good good mkuu
Morning mjanja wa joto siti BitozMovie mpya ipo sokoni itafuteni![]()
Good morning all
.....
Nahisi pia ndie pekee aliyetokea Africa kushika wadhifa huo1938 - Kofi Annan anazaliwa huko Kumasi, Ghana.
Alikuwa ni Katibu Mkuu wa 7 wa Umoja wa Mataifa.
Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel ya mwaka 2001.
Hilo jina silitaki kabisaMorning Sclfied..
Kitabu cha Refire and fire ni muhimu sana kwa kaka yako..Cc Transcend
Great word mkuu
African Political leaders ni wachache sana wanao tumia ushawishi.
Am doing great!Mkuu uko bomba lakini?
Naona umekimbia kuweka vyeti!!
1992 - Mchezaji bora wa zamani wa Tennis kutoka nchini Marekani, Arthur Ashe anajitangaza kuwa ni muathirika wa ugonjwa wa UKIMWI.
Anatajwa kama mmoja wa wacheza Tennis kuwahi kutokea.
Ashe anakuja kufariki mwaka mmoja baadae yaani mwaka 1993.
Baada ya kifo chake, Rais wa Marekani wa Kipindi hiko Bill Clinton anampa tuzo ya heshima ya kitoka kwa Rais. ( President Medal of Freedom ).
Keshatoa episodi moja toka juzi..!Hilo jina silitaki kabisa
Huyo scolfied ni gay ndio maana hata nakuwa mvivu kufuatilia hiyo prison break
Timiza ulicho ahidi.Am doing great!
Wala sijakimbia mimi..
Washiriki ni wale wale auKeshatoa episodi moja toka juzi..!
Jamaa kapatikana gereza lililoko Yemen..
Afu lile jina la scofield halitumii tena..
Umenichekesha mkuuAcha utani ww
Ww mwenyewe hajawahi kukufungulia pm
Pimbi ndio ina mata vzr..Hilo jina silitaki kabisa
Huyo scolfied ni gay ndio maana hata nakuwa mvivu kufuatilia hiyo prison break
Hahahaa!Timiza ulicho ahidi.
Hongereni kama hamuigizi bongo muvi.Umenichekesha mkuu
Mimi na shunie hatuko kama unavyofikiliaa ni live love bila chenga
Mkuu naomba labda uirudie kusema vzr uone kama hatutaitikia.Hahahaa!
Nilesema watu tu-update avatar kwa kuweka real faces..
Hakuna alie support! So how do i do it on my own?
Thanks mkuu dikteta midevu...Leo Katika Historia:
Niwatakie wikend njema wote.
hivi baby kwani hauniamini mpk unaniwekea mlinziMzee mkavu soudy wa shedede mulinzi ya shemela yako mpenzi wake lee ...naamini kazi yako unaifanya vilivyo
![]()