Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Na ukienda kwa "mastaa" unaonekana unajipendekezaUkienda kwenye thread ya mtu ukapiga stori unakula ban sasa hivi..
Bora hapa kijiweni kwetu makapuku..!
Hiyo sheria ya ban imeanza lini!
Hongera ni kwa Makapuku wote coz tuna ushirikiano km mchwa...simmeona Wakongwe Forum ilivyokufa kwa aibu maana walijaribu kujibu mapigohongereni sana kwa kubuni hii kitu mmetusaidia na sisi wengine kujiachia
Hongera ni kwetu soteHongereni kwa kuliona hilo
One love
........