Ndio weka picha maana ulishatuahidi weka halafu uitoe.Hahaaaa!
Pole ila ndo unajifunza hivyo...wala usiogope kuandika au kuongea broken english! Bado tunajifunza
Sasa mkuu unataka niweke No za simu ama?
Au niweke picha?
Manake naona leo mmeamka na mimi
Hahahaaa!Le Mutuz.
Ila bro hulazimishwi kua mkweli labda kuna sababu za msingi au ndio lifestyle yako.
Acha maneno put ukweliHahahaaa!
Le mutuz mjinga yule..!
You will find one in 1million of his type..
Morning mummyMorning my lovely kapuku's
Wakuu tuwe na siku njema..
Mkuu mr T tunakusubiria kwa lishe ya ubongo ...Ila sio mbaya tukaipitia na hii
Mzee mkavu nilitingwa wala sio club ...kijijini network shida
Ila rasmi nakukabidhi jukumu la kuangalia shemeji yako kama sipo ...wapige watu vipapaii ikibidiiii mkuu
HelloMy sisy
HahahaMsalimie T, ila analala sana mpuguzie dose.
Brooh!
Unanifahamu tayari kaka!
Kweli week zoote hizi bado tumekaa hapa makapuku bado hujapata kunifahamu?
Kwa kifupi basi na wengine wanifahamu..
Jina: Transcend M.
Jinsia: me
Age; 27
Kazi: mjasiria mali
Ndoa; uchumba na Sakayo
Bado nini tena mkuu?
Natumaini mmenifahamu sasa..!
Hakika umoja ni nguvuNUKUU YA LEO
There is no time to waste. We must either unite now or perish.
Hakuna muda wa kupoteza, lazima tuungane ama tuangamie
Haya maneno yalipata kusemwa na Mwalim. Julius Kambarage Nyerere, muasisi na baba wa taifa la Tanzania.
Mwal. Jk nyerere ndio aliyeongoza vita ya kupigania uhuru wa Tanganyika na baadaye kuwa Tanzania.
Mwal. Atakumbukwa kwa mchango wake ktk kupigania uhuru wa nchi za Africa hasa nchi za kusini mwa jangwa la sahara..
Ukweli wake, kupenda haki, utu wake, na maadili yake yameendeea kuwa kama nembo ya utambulisho kwa Taifa la Tanzania.
Mwalimu amepokea zaidi ya tuzo 12 kwa mchango wake ktk mataifa mbalimbali, aliongoza tanzania kwa miaka 24 kabla ya kung'atuka madarakani tar 5/11/1985.
Mwal. Alifariki dunia tar. 14/10/1999 akiwa na miaka 77.
Umoja ni nguvu! Mwalimu alipenda tuungane ili tuwe na nguvu..
Umoja wetu ni mafanikio yetu..
Transcend.
Morning too babe!!!Morning lovie..
Hope umeamka salama mama..
Leo nimecheleww kuamka kidogo mamie..! Ile dozi ya jana sio kabisa..
On the way the way!
Nakupenda mke wa maisha yangu..
Have a blessed day
Hahahaa! Ndama mutoto ya ng'ombe vipi?
Kidogo unakielewa kiswahiliYes
Labda tuseme hivi
Umejikuta tu huna sababu ya kukufanya usimpende so automatically upo in love with her is it?
Bado tarehe ya kumbukumbu ya ndoaBrooh!
Unanifahamu tayari kaka!
Kweli week zoote hizi bado tumekaa hapa makapuku bado hujapata kunifahamu?
Kwa kifupi basi na wengine wanifahamu..
Jina: Transcend M.
Jinsia: me
Age; 27
Kazi: mjasiria mali
Ndoa; uchumba na Sakayo
Bado nini tena mkuu?
Natumaini mmenifahamu sasa..!
Halafu weweWeka mawasiliano binafsi tuweze kuhack mkuu