Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
RedbullUnatumiaa kinywaji gani tofauti na sayona
ahhaahhah wewe tenaHata nisipompa muda atajitetea tuu
Ndio mzee wakeMzee wakee
Waaacha!!!We una chembe chembe za Sudan, sio kwa uchochezi huo

Ameen kwa neno lenye heripole sana sana na kabla ya kunywa dawa ziombee Mungu atakusaidia utapona na kurejea ktk hali yako
Acha tu dada hapoMmmmh
Mdogo wangu, unajua wanaume hamna lakini!!!kama umepanga kuchepuka hamna atakaeweza zuia na huyo muhudumu nina wasi wasi nae sijataka tu kukwambia
MamboUsike Mkuu.
Maana cheko lako linashitua sana ujue.
Aksante MkuuPolee sana mkuu
Red bullUnatumiaa kinywaji gani tofauti na sayona

moyoniiiiiiLaa wapii hili
Tuna watoto 3Huyu mrembo shunie ulimteka lini Mkuu?
Sema tu basi.
Najipenda sana sanaUnajipenda lakini
Aksante Mkuu ...kesho nachukua hatua kulinganaPole ndugu yangu.....Hakika unaumwa mpaka kuandika unakosea kosea.....hospital first