Yaaaniii yaaaan nshakaribiaa
Chochote kile ukipendacho wewe
Usijali unaweza ninong,oneza ukipendacho
Wala usijarii niandalie kile nikipendacho
Haya usisite kunitembea siku ukipita huku
Yaaaniii yaaaan nshakaribiaa
Ndizi zangu Dada

pole sana mkubhi vipi hospital ulienda kucheck sio unaumwa upo nyumbaniMakapuku maombi yenu ni mkuumwa mguu unanizingia mithili ya kutotoka home tangia asubuhi.....
Aksante shunie....pole sana mkubhi vipi hospital ulienda kucheck sio unaumwa upo nyumbani
pole sana sana na kabla ya kunywa dawa ziombee Mungu atakusaidia utapona na kurejea ktk hali yakoAksante shunie....
Sijaenda ila nmepo mkutumia dawa hapa nyumbani kwanza... Pia nimkushangazwa sana nililala niko vzr ila leo nimeamka nipo mkuumwa!!!
Bhanaa uwe unasahau utakuja kukumbuka ambavyo havikumbukwiii mtihani huonilivyoona tom n jerry nimekumbuka![]()

..!!..
My shunie sijakuelewaaaaahunnie rudisha ile avatar ya mwanzo ya maneno![]()
Asanteee sanaaaBas inshallah umekipata
Polee sana mkuuMakapuku maombi yenu ni mkuumwa mguu unanizingia mithili ya kutotoka home tangia asubuhi.....
Chief za masiku hiko chakula nimekimiss yaan ulivyoandika hapa mpk mateje wajua wali,maharage,kachumbali na ndizi... ndio chakula kinachowapeneza sana watoto kikiliwa mchana majumbani mwao..!!!.....tangu enzi na enzi....![]()
..!!..

Bhanaa uwe unasahau utakuja kukumbuka ambavyo havikumbukwiii mtihani huo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

nimeipenda sana lkn naona unakaribishwa sna na ww tena uandaliwe chochote anachopenda nahisi sbbu ya avatarMy shunie sijakuelewaaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii huipendiii??
Hizi quotes sio za nchi hii
