najua..Chief za masiku hiko chakula nimekimiss yaan ulivyoandika hapa mpk mate![]()
...hii kitu mapindi hayo...ikipikwa home mchana...ni full vicheko...mnaskilizia harufu ukoko tu..beche likiwa limepeliliwa...we achaa...
...!!..
mmmhh kwaresma hii baby tumefungaBaby shunie njaa inauma nionee huruma mbona unapenda tamthilia hivo huoni dadako???
Chai tumekunywa juis ya miwa![]()
![]()
mchana sioni dalili
Ongeaaaaa
Km nakuona haponajua..![]()
...hii kitu mapindi hayo...ikipikwa home mchana...ni full vicheko...mnaskilizia harufu ukoko tu..beche likiwa limepeliliwa...we achaa...
![]()
...!!..
mbona steve siona tena story yake hii mpya eb ukiona niquotenajua..![]()
...hii kitu mapindi hayo...ikipikwa home mchana...ni full vicheko...mnaskilizia harufu ukoko tu..beche likiwa limepeliliwa...we achaa...
![]()
...!!..
Pole ndugu yangu.....Hakika unaumwa mpaka kuandika unakosea kosea.....hospital firstAksante shunie....
Sijaenda ila nmepo mkutumia dawa hapa nyumbani kwanza... Pia nimkushangazwa sana nililala niko vzr ila leo nimeamka nipo mkuumwa!!!
Pole ndugu yangu.....Hakika unaumwa mpaka kuandika unakosea kosea.....hospital first




kwani baada ya baladhuri kuna nyingine kaianzisha..??..mbona steve siona tena story yake hii mpya eb ukiona niquote
je wajua wali,maharage,kachumbali na ndizi... ndio chakula kinachowapeneza sana watoto kikiliwa mchana majumbani mwao..!!!.....tangu enzi na enzi....![]()
..!!..

mmmhh kwaresma hii baby tumefunga

Unashindwa nini kukipika lakin swtyChief za masiku hiko chakula nimekimiss yaan ulivyoandika hapa mpk mate![]()
yes kaanzisha mpya ipo episode ya 5 sijui nzuri sana nashangaa siioni tenakwani baada ya baladhuri kuna nyingine kaianzisha..??..
Mushenga
Mmmmmmmh kweresma au uvivu wakoommmhh kwaresma hii baby tumefunga
yaan ata sijui nimekimiss kweli wali wa nazi na maharage ya nazi na samaki pembeniUnashindwa nini kukipika lakin swty
hii week haitaisha nitapika