Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Randy nilikuwa simpendi jamani khaaa
Randy nilikuwa simpendi jamani khaaa
Sio utani mdogo wako ana deka sanaaaShem uachage utani basi
Usiwe mbali nae mkuu..Shem mdogo wako kiukweli kwenda hospital tuone kama mungu atajalia naweza k uitwa Baba na yeye mama ila aliyenae ananiupdate yuko vizuri na mmi ntakuwa nae soon
2005 - Paul Bomani anafariki Dunia.
Alikuwa ni Waziri wa Fedha wa Kwanza nchini Tanzania.
Kabisa mkuu najitahid sana ila kufikia saa 4 ntakuwa nae nakaribia si unajua kutafuta mkate wiki nzima nilikuwa mbali kidogoUsiwe mbali nae mkuu..
She need to see you very close..
Hapa ndo mwanamke anaihitaji uwe close.. ule msemi wa uchungu wa mwana aujuaye mzazi...walipindisha tuu..
Ilitakiwa iwe uchungu wa mwana aujue mama..
Mkuu,Najua shemu Ila asante ,make mtori mzuri kuregain afya
Swadakta mkuu..Kabisa mkuu najitahid sana ila kufikia saa 4 ntakuwa nae nakaribia si unajua kutafuta mkate wiki nzima nilikuwa mbali kidogo
Yaaah Bob we tried at our levelMkuu,
Hope mmempeleka hospital ya kueleweka.! Treatment nzuri inachingia kuwepo kwa safe delivery by 90%
All the best to her..!
Pamoja mkuu.Yaaah Bob we tried at our level
Haya bwanaUsiwe mbali nae mkuu..
She need to see you very close..
Hapa ndo mwanamke anaihitaji uwe close.. ule msemi wa uchungu wa mwana aujuaye mzazi...walipindisha tuu..
Ilitakiwa iwe uchungu wa mwana aujue mama..
mbona hujaniamsha mpenzi?? mpaka nimechelewa kuamka jamanNimekuja jmn amka
kuzoea zoea watu mwisho utazoea majiniWakuu baadae sana takuja kuwa cheki
-Lee empire
-shunie
-mondray
-transcend
-quigley
-mkubhi
-aisha2016tambua kuwa nakupenda sana
Karibu kwenye ufalme wa moyo wangu usaini mikataba ya kuwa na mimi mpaka mwisho wa dahar
![]()
![]()
![]()
![]()
baadae family
Nilikuamsha sema ulikuwa umechoka jmn..mbona hujaniamsha mpenzi?? mpaka nimechelewa kuamka jaman
Mwenzio anapiga pesa hahitaji kupendwaRandy nilikuwa simpendi jamani khaaa
Duuuuu jibu lako baba mmmhMwenzio anapiga pesa hahitaji kupendwa
...
am fine thanks to allahNilikuamsha sema ulikuwa umechoka jmn..
Anyway how is you?